Happy Birthday to Me! OMG!!!ODM anazidi kulisogelea kaburi...

Happy Birthday to Me! OMG!!!ODM anazidi kulisogelea kaburi...

mmeniita kwa ustadi sana...........naja sasa hivii........
Wahi mupenzi. Hivi ushakuwa mahiri wa kudandia hizi makitu?

BUS3.jpg
 
dah! Hawa mabinti nawakubali sana kwenye haya makitu. Uwe unaniachaga nami japo kwa siku moja........ Unakumbuka ile siku?

mjomba3.jpg


hapo cacico, nivea na madame b walibaki hooooi!!
usinikumbushe miaka hiyo, nilikuwa speechless! Weekend hii twanywa wapi luv wangu?? Sema neno na roho yangu i[ate uzima. Sitakuacha kebbys, nimeorder double mbili kwa ajili yetu mahusat wangu!
 
hongera sana ila nakushauri upunguze au kuacha kabisa vitu hivi uta dead soon
1.matumizi ya vileo yanaharibu ubongo source jf doctors
2.matumizi ya dawa ya penzi sio mazuri cause ile ladha halisi unakuwa huipati ni sawa nakula ndizi na maganda yake
3.maabarmaid wazuri lakin wanahatarisha maisha yako cause kwao wa hapedwi mtu bila pochi na mashallaah we kidogo unazo maana ndoa 3 wote wana nyumba na mikoko ya nguvu na bado unatoka na under 18 hela unazo bana.ni hayo tu
 
happy birthday my hubby Asprin!! nilingoja useme neno nikupe SURPRIZE, nimeandaa 6some na kim kardashian, nataka awe centre, tujimwayeeeeeee mpaka! mi luv u huby wangu.

NAKUOMBEA BARAKA TELE KATIKA MAISHA YAKO! KILA LILILO ZURI LIWE MBELE YAKO, UFANIKIWE KATIKA YOTE. NAKUPENDA MUME WANGU!

Waohhh! Thats my wife! Amina mke wangu. Ubarikiwe pia.

BTW Vipi yule poppy wetu bado yupo? Ananisaidiaga kwenye mambo yangu ya mawivu..... Si Unajua sitaki kushea na mtu penzi lako?

tumblr_kpxcisTq9p1qzsi3ro1_500.jpg
 
usinikumbushe miaka hiyo, nilikuwa speechless! Weekend hii twanywa wapi luv wangu?? Sema neno na roho yangu i[ate uzima. Sitakuacha kebbys, nimeorder double mbili kwa ajili yetu mahusat wangu!

Unataka neno moja my love? Nimeishiwa maneno, kamata hii...

110707-2041-kissing1.png
 
hongera sana ila nakushauri upunguze au kuacha kabisa vitu hivi uta dead soon
1.matumizi ya vileo yanaharibu ubongo source jf doctors
2.matumizi ya dawa ya penzi sio mazuri cause ile ladha halisi unakuwa huipati ni sawa nakula ndizi na maganda yake
3.maabarmaid wazuri lakin wanahatarisha maisha yako cause kwao wa hapedwi mtu bila pochi na mashallaah we kidogo unazo maana ndoa 3 wote wana nyumba na mikoko ya nguvu na bado unatoka na under 18 hela unazo bana.ni hayo tu
Hahahahaha! habari yako ummu kulthum? Umemwona Kaizer? Alikuwa anakutafuta sana.

BTW unajua pombe si chai?

24147135783163523115147.jpg
 
Last edited by a moderator:
ODM nipe tenda ya jeneza mkuu. Ntakutengenezea mazuri mpaka ufrahi ufufuke

Kula kuku mpaka bata waone wivu ah sore kula bata mpaka kuku waone wivu!!

Happy Birthday Asprin!
May you live to see your great, great, great grand children! Long Live!
 
Last edited by a moderator:
ODM nipe tenda ya jeneza mkuu. Ntakutengenezea mazuri mpaka ufrahi ufufuke

Kula kuku mpaka bata waone wivu ah sore kula bata mpaka kuku waone wivu!!

Happy Birthday Asprin!
May you live to see your great, great, great grand children! Long Live!


Siyo jenaza mkuu, hata Kaburi we nifanyie mamdingo. Ila angalia usije ukaniwahi.... Ohooooo

attachment.php


Na huyo bata unayesema nimle ni bata yuleyule au fumbo tata?

attachment.php
 
Nashukuru sana mkulu wangwe... Dah dongo tani saba linazidi kuninyemelea..... BTW una mawasiliano yoyote na amu na Paloma? I know you know what I mean.... damn!

Umeona eh mdada. Najua hauchezi mbali na mimi. Dingi yangu na dingi yako walikuwa wanajua kulenga shabaha tarehe za mvua ya masika bana!!


umeona eeeeeh....hao wazee nawapa big up sana.......
 
Back
Top Bottom