Happy birthday to me πŸŽ‚πŸŽ‰

Happy birthday to me πŸŽ‚πŸŽ‰

_20230726_080346925~2.jpg
 
Hello everyone 😊☺

Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuendelea kuniweka hadi leo ambapo nimeongeza mwaka mwingine tena, yote ni kwaajili ya nguvu na huruma zake, maana haikuwa rahisi πŸ˜ŠπŸ€—

Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na kujaliana hisia za kila mmoja, walikula wakashiba wakaenjoy vya kutosha, wakafurahi hadi akapatikana mtoto mzurii, mrembo na mwenye kila sifa za kuwa msichana. I used to keep that happiness of you my parents ( I love you 😍😘)..

Pia nitoe pongezi kwa ninyi wanaJf wote ambao hamjawahi kunifanya nijute kuwepo humuπŸ˜„πŸ˜„...mmekuwa ni watu wakunifanya niwe na furaha muda wote, ningekua na uwezo ningefurahia na nyie wote kwenye hii siku yangu special. Nawapenda sana.

Natamani nijaze hata page kumi maana nina mengi ya kuzungumza, ila acha niishie hapa
HAPPY BIRTHDAY TO ME πŸŽ‰πŸ₯³πŸ₯³πŸ˜„πŸŽ‚πŸŽˆ View attachment 2699335
Unafurahia kuelekea uzeeni na kwenye kifo?
 
Hongera sana Leejay49 siku nzuri sana leo kwako na hata ndugu zako jamaa na marafiki, ufurahie hii siku kwa kumshukuru mwenyezi Mungu na kumuomba akujalie uwe mwenye faida kwa dunia.

Binafsi nakupongeza, hongera pia kwa wazazi na shukrani za kipekee kwa Mungu kwa sababu ya wewe.
 
C:
mtoto kitu na boksii chaguo langu ni wewee X 4

nipe bila waaasii , ewe wangu kipusa
nipe hiyo nafasi, mwenzio nimepagawa
tena nipe bila posi, nisijechanganyikiwaa



wewe nipe mpaka niseme baasi, kwa hili penzi lako wee X 2
wacha weee,, huhuuuu😘😘😘
 
Hongera sana Leejay49 siku nzuri sana leo kwako na hata ndugu zako jamaa na marafiki, ufurahie hii siku kwa kumshukuru mwenyezi Mungu na kumuomba akujalie uwe mwenye faida kwa dunia.

Binafsi nakupongeza, hongera pia kwa wazazi na shukrani za kipekee kwa Mungu kwa sababu ya wewe.
Asante Pendaelli πŸ˜ŠπŸ€—..barikiwa sana 😍😍
 
Kila la kheri,mtoto mzuri
Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na kujaliana hisia za kila mmoja, walikula wakashiba wakaenjoy vya kutosha, wakafurahi hadi akapatikana mtoto mzurii, mrembo na mwenye kila sifa za kuwa msichana. I used to keep that happiness of you my parents ( I love you 😍😘)..
 
Back
Top Bottom