Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uishi miaka mingi uzidi kuwa mremboThank you much Rafiki🙏
HahahahahaAsante sana, msiache kuwa pembeni yangu..,...si unajua amani ndo uhai
Happy born day [emoji173] To yeyeKheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina[emoji120]
Yani baba haambiwi ahsante? Hivi mnajua tunatumia nguvu kiasi gani kuwatoa viunoni mwetu?Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina🙏
Hulali?Happy birthday binti!
Umefikisha ishnangapi?🤣
UmeanzaYani baba haambiwi ahsante? Hivi mnajua tunatumia nguvu kiasi gani kuwatoa viunoni mwetu?
mashallah mtoto wa kinyakyusa❤️Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina🙏
Yaan kumbe wewe umezaliwa siku moja na 'Mama' yangu?Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina🙏
Saa11 mkuu tunaelekea kumtumia kaisari mkuu🤣🤣Hulali?