Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinja mayo, untwa ukusaja, mwalamsha, 🙏🙏🙏 mapembeloUghonile
Siku yako,Tamba🤣🤣🤣Kuna Nini tena🥴
Nipo nakuzuuuum mama la mamaOoh Boss upo? Asante sana mkuu
hauna lafudhi ya kyela ya tononu!!🤣🤣🤣🤣Tununu
Uishi miaka mingi To yeyeKheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina🙏
Amen, baeikiwa sana, hunaga baya na mtuAsante sana bro, barikiwa sana 🙏