MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Anhaaa sawa buana wikiendi na kuzaliwa hadi raha ishi sana mwanetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimeona hapa tu.....
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaaa sawa buana wikiendi na kuzaliwa hadi raha ishi sana mwanetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimeona hapa tu.....
Happiest birthday to you dear, Mungu akupe kila hitaji la moyo wako kwa wakati sahihi.Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina🙏
Happy birthday sweetieKheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina🙏
Asante sana wangu👊Anhaaa sawa buana wikiendi na kuzaliwa hadi raha ishi sana mwanetu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
1+ 🤒😀Siyo vizuri ujue,utajaziwa my learner
jitahidi ule sana ili unikute😂😂30s hukooo
kwahio atakula ndo ale?☹️Keki ni mie mwenyewe....labda uninunulie😊
tumeshajadili atanunua National Anthem😊Ndo mninunulie Keki sasa
Happy birthday dada To yeyeKheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina🙏
Ndo haja kubwa ya mtoto ilivyo, wala usihofu. You will get well soon.🤣🤣🤣🤣 Asante sana mkuu....sahivi nimepumzika kidogo naharisha mno😒