Happy birthday to you To yeye

Happy birthday to you To yeye

Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.

Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.

Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.

Amina🙏
Mashairi mamzito sote tu mamvumbini na uvumbi tutarudi hbd🤣🤣
 
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.

Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.

Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.

Amina🙏
Heri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa. Ishi sana mrembo.
 
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.

Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.

Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.

Amina[emoji120]
Mama la mama , sweetie , dada ake , mwamba wa kike , sisteri ishi sana huna baya dada ake sema nini ? Nipo Mbalizi police post fanya hata kunipa mualiko mwenzio niwe nimepata pa kula leo mchana [emoji848]

Maana mwenzio hii wikiendi nimeamua kuja mjini ila nimefika kwa msaada wa mwanakijiji hajanitoza nauli sasa hapa napanga wapi nitaenda kula freely japo Mungu mwema kumbe leo dada ake abazaliwa basi najua kula uhakika na kunywa .

Nakudedicate wimbo wa Lavalava _ Tajiri .

Ishi sana ndugu yangu huna baya .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
To yeye
 
Nipo Mbalizi police post fanya hata kunipa mualiko mwenzio niwe nimepata pa kula leo mchana
emoji848.png
🤣🤣🤣 Nimeona hapa tu.....
 
Back
Top Bottom