sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mrembo na miss tanzania wa mwaka 2006
Mungu akubariki Madame uwe na maisha marefu, atimize haja za moyo wako...
Japo kuna kila aina ya mashambulizi yanayoelekezwa kwako kutokana na either tofauti ya itikadi za siasa au utaratibu wa maisha ya mtu binafsi...
Ila hayo yote binafsi nmeweka kando, wewe shemeji yetu wa zamani...
Kwa moyo mkunjufu kabisa, nakutakia heri ya siku ya kuzaliwa...
Cc cute b
Mungu akubariki Madame uwe na maisha marefu, atimize haja za moyo wako...
Japo kuna kila aina ya mashambulizi yanayoelekezwa kwako kutokana na either tofauti ya itikadi za siasa au utaratibu wa maisha ya mtu binafsi...
Ila hayo yote binafsi nmeweka kando, wewe shemeji yetu wa zamani...
Kwa moyo mkunjufu kabisa, nakutakia heri ya siku ya kuzaliwa...
Cc cute b
Last edited by a moderator:

