Happy birthday Wema Sepetu

Mwanamke akia na star kama chibu lazima mapedege wengine watakutokea ili na wao waone mile ster kama chibu anachopata toka kwa demu

Ila akiondoka tu na wao wanapeperuka
Ndio yaliomtokea wema sepetu zawadi za Benz zimeyeyuka zaidi naona keki ya sh 10000
 
Pole sn mdau maana umemwaga hisia zinazoambatana na chozi,kaaz kwelikweli
 
Reactions: ora
wewe umetumia vipimo gani kujua hayo? au post za insta...

Namshauri Diamond agawe mali zake mapema ...
Hakika umaskini mbaya sana tena sana....
umeona eee... umasikini na roho mbaya vikichanganyika ni bonge la bomu.. hlf hata huyo Diamond akija kuwa na mwanamke mwingine nao wtatasema heri ya Zari kuliko huyo
 
Mirija ya fweza imekata hawa walitegemea watu toka serikalini bahati nzuri Anco Magu amebana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…