Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
- Thread starter
-
- #81
[emoji35] [emoji35] [emoji35]Daby mwezi wa kwanza si tulisherehekea birthday yako? Hii ya mwezi wa tatu imetokea wapi tena?
Hapo huyu husna 100% gharama kwake..
Vitakoma mwaka huu.. Mwisho wa mwezi unakimwaga unakamata shunnie.. April birthday nyingine.
Mi nafurahi tu kula mikeki hiyo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Ahsante saana Compact. Huko lazima twende mkuu kwa namna yoyote.
Tehteh... itabidi twende naye akapigwe msasa mbele. Ila hicho kiwango ukijumlisha na haba namwona British [emoji4]
Ashindwe na alegee mpaka chiniMtakatifu hivi unajua mimi ndugu yako? Endelea kuniharibia tu wewe
Ungemtaja au tu kama unampenda.kwa heshima na taadhima
NapendA kumu'wish' my dear, my love, my sweet my lotion, my kapeti,my ....
HAPPY BIRTHDAY TO YOU[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
I LOVE YOU SO MUCH
oooo sory nilisahau kuwasalimia
Mko poa wana jf?!
Mdogo wanguhahahhhh
Leo tusiende nao eeeh??Big boy himself happy birthday bro inabd bebi akuachie kidogo tukapate vile vikao vya heinken bas Daby
HahaUngemtaja au tu kama unampenda.
Nadhan ni charii angu
Chuga boy one!!
Dably Daby
Happy birthday bro
[emoji109][emoji109]Happy birthday bro
Daby live long live peace with other
May God bless you
99yrs
Haha
Thanks chaliiake aminia saana. Msalimie Mondray haha
Happy born day my shem, kaka wa mie, roho ya Husna, rafiki ake Shunie, Swahiba wa mume wangu!!!! Mungu akupe miaka mia nane, nakupenda lakini nampenda babu zaidi, namzimia Shunie wangu.Tunaikata wote bhn... hasa wale memba wa ule uzi. Muite dada yako kwanza na mmewe
Nitampa hai broHaha
Thanks chaliiake aminia saana. Msalimie Mondray haha
We acha tuuDada anakuja Babu kapotea tunamtafuta siku ya pili leo hatujui alipo tumeshatoa matangazo kwenye tv na radio
Asante bro mzee wa mikakati. Tank think mwenyewe. wana bila wewe hawafiki kule ujue. Play smarter.Duh kumbe kweli Leo ni birthday ya mkemia mkuu??
mpaka nimeingia kwenye profile ndo nimeamini...
Happy born Day Mkemia mkuu wa wanaharakati, Maninja na masistaduu woote...
God bless u,
Wishinq you a long and sucsessful Life,
Akina jje's Paprika geniveros LadyAJ venossah Valentina miss_blossom Njooni na maji pipa zima
Hukumu inaisha siyo!Nitampa hai bro
I think kesho atakuwepo hapa
mpk sasa cake haijulikan n wapiHappy born day my shem, kaka wa mie, roho ya Husna, rafiki ake Shunie, Swahiba wa mume wangu!!!! Mungu akupe miaka mia nane, nakupenda lakini nampenda babu zaidi, namzimia Shunie wangu.
Tukutane baadae kwenye Keki
tuendelee tu kumtafuta tutampataWe acha tuu