Happy Holidays wapare wenzangu

Ww utamwambia aje na nauli yake arud na nauli yake
Wakati namlipia ada ya mtoto January.
Kwanza wewe unajua kabisa crdb yangu inasoma tarakimu ngapi u jishaua tu tu hapa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na inna umempata wa kumuonea aisee unagonganisha hv[emoji23][emoji23][emoji23]...nadhan unamtuliza na pesa..bas na mm nabanana hapa hapa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pesaa??bora useme kingine uyo mpare unajua alivyo mbahili sijawah onja ata 100 yake
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na inna umempata wa kumuonea aisee unagonganisha hvπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...nadhan unamtuliza na pesa..bas na mm nabanana hapa hapa..
Inna nakaogesha na mapesa. Yani kanakuja kuchota kenyewe.
Nishakatoa out sanaaa kila kona ya mji hadi kamechoka mpaka kwa kina rest bbq kote nimekapeleka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mamaaaa..ila ivuga ana mashauzi jamam[emoji23]aliwah sema ataninunulia keki ya besdei..subiri na ww wapiiii nikaishia kula.mtori tu[emoji18]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uyo maneno mengi tu...wazaramo wamemharibu kwa maneno mengi vitendo sifuri
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mamaaaa..ila ivuga ana mashauzi jamamπŸ˜‚aliwah sema ataninunulia keki ya besdei..subiri na ww wapiiii nikaishia kula.mtori tu😌
Hahah usifukue makaburi basii.
Hapa tunaweka plan za mwaka mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…