Happy Holidays wapare wenzangu

Happy Holidays wapare wenzangu

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,443
Reaction score
3,002
Mi wavudee, ngoja nikuelekeze kuazia thame, unapanda kilengaa, kituo cha kwanza mwembe,unakuja mgungani...mbele kidogo njia ya kupanda thujii, unakuja mkanyeni....unapita mto pendwa ngambini, unafika vudee msanga hapo ndo home...ukitaka kwenda chome lazima upite hapo vudee.msimu kama huu kipindi hicho pale ndo town kwenyewe tunamsikiliza babu yangu kibaja na igitaa[ maimuna]kina babu issa na bibi kopina. raha sanaa, tujiburudishe na kajimbo haka tufunge mwaka. chai ni huruuuu mkate ningafuuu
 
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]@espy ile"ela ulionizurumu" leo Elli ananilipa kwa njia moja au nyingine..acha nije kwa majaliwa mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji22][emoji22][emoji22]
Halafu ni Eli, sio Elli[emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo haraka nikulipe deni lako, manake kumbe espy kakudhulumu[emoji39]
 
Back
Top Bottom