Happy Valentine's Day my babe

Da mau ananitafuta niongee, halafu hachelewi kulalamika mimi na like na kucheka wakimsema yy katoto kazuri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila najua ananipenda ndiomana haishi kunitaja mfyuuuu!!
Nikasema haiwezekani mzaramo katulia Ina maana hajasoma hii🀣🀣
 
😁😁 Ukorofi
Sasa mtu anatengeneza mchumba wa imagination unafikiri atakuwa ana akili sawasawa kwanini usikae kimya na unajua upo single huo muda si bora hata ungemwandikia Mama yako
 
Nikasema haiwezekani mzaramo katulia Ina maana hajasoma hii🀣🀣
Ss hivi nilimwambia niko upande wake basi anajishauaje 🀣🀣🀣
Kuna uzi aliuleta wa malalamiko, akalalamika sana mimi niko upande wa wanaomsema na nacheka na ku like. Halafu nasema nampenda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Da shunie kaniponza
 
Inakuwaje mkali?
 
Mi sipendagi swaga za kumcheka dada Maua ujue?ni shosti wanguπŸ˜ƒ
 
Msaidieni mwanamke mwenzenu kuliko kumuenjoy nadhani ana shida ya mental illness haswa
Nafuu yako wewe hauna hadi unahangaika na mwanamke hiyo ni mental illness hivi unadhani na mtu humu ambaye hanichori wengi wananienjoy kama kweli mtu hakuenjoy angenipiga tafu kwa vitu nauza hata wewe unanichora kwa maana mmengeniungisha vitu ninavyouza wanadamu wanafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…