Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😂😂😂 Mi alinikataza kabisa kucheka pindi wakimsema..!! Ss hivi mi mpz mtazamaji nipo kuilinda brand yakeMi sipendagi swaga za kumcheka dada Maua ujue?ni shosti wangu😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Mi alinikataza kabisa kucheka pindi wakimsema..!! Ss hivi mi mpz mtazamaji nipo kuilinda brand yakeMi sipendagi swaga za kumcheka dada Maua ujue?ni shosti wangu😃
Tusubiri waje tuige wanavyofanya😃😃Embu baby nifundishe 😁
Ina maana hujuiHahahahahaha..kwamba mleta ni mwezi mchanga ..?
Hahahahahahaha..najua ila naona kama wapo wengine nao ni zemche vile vileIna maana hujui
Sikuiona hii... we jamaa😃😂😂Hahahahahaha..kwamba mleta uzi ni mwezi mchanga ..?
😂😂😂😂 Da mau mbona Yuko fureshiii hana weakness wala sickness ni vile anaishi dunia yake 😜Mungu amsaidie apate mchumba kwanza ambaye atabeba weakness zake na kukusaidia kuondoa tatizo lake la mental illness tofauti itakuwa ngumu mwanaume yoyote kumuelewa
Hahahahaha...nini sasaSikuiona hii... we jamaa😃😂😂
Eti Smart911 Mahondaw ile Cc mnafanyaje mpaka inatokea nataka na mm nimfanyie baby wangu Leejay49 😄 au mtaalamu wa IT mshamba_hachekwi nielekeze basiTusubiri waje tuige wanavyofanya😃😃
Yaani asilimia 90 watu vichwa wameviacha mahali so mtu huyu ananiita kichaa ipo siku Mungu atamwonesha kupitia yeye ukichaa upoje akipona ndio atakuja kutoa ushuhudaHahahahahahaha..najua ila naona kama wapo wengine nao ni zemche vile vile
🤣🤣🤣🤣🤣Tatizo unaweza ukajitolea akakuchamba hapa upate aibu.. Lamomy
Hahahahahaha...Yaani asilimi 90 watu vichwa wameviacha mahali so mtu huyu ananiita kichaa ipo siku Mungu atamwoneasha kupitia yeye ukichaa upoje akipona ndio atakuja kushuhudia
Nimeongea kwa nia nzuri tu bible vitu kama hivyo ni vyakusaidiana sio vya kukejeliNafuu yako wewe hauna hadi unahangaika na mwanamke hiyo ni mental illness hivi unadhani na mtu humu ambaye hanichori wengi wananienjoy kama kweli mtu hakuenjoy angenipiga tafu kwa vitu nauza hata wewe unanichora kwa maana mmengeniungisha vitu ninavyouza wanadamu wanafiki
😂😂😂😂 Kuna muda unajikuta umecheka automatically wengine tunapenda kucheka jamaniYaani😂😂,, nawalike hadi wanaomsema... Nimeacha saizi nitakua namdislike kila atakayemsema dada yetu maua
sijui mzeiya waulize wenye miongozo yao😂Eti Smart911 Mahondaw ile Cc mnafanyaje mpaka inatokea nataka na mm nimfanyie baby wangu Leejay49 😄 au mtaalamu wa IT mshamba_hachekwi nielekeze basi
Happy Valentine my babe,
Sweety 🤣😍😘 napenda jinsi ulivyo,ngoja nishuke kikwetu.
I love the way your. Your all to me and I never knew that you love me. So much. I love u too.
I wish your here hug me and kiss me. I hope one day you will be here to stay. I wll always love you.
Happy Valentine my Boo 🌹🌹🌹❤❤❤❤❤❤❣❣❣❣😘
View: https://youtu.be/3JWTaaS7LdU?si=nfobjZhGqfHIoiV6
View: https://youtu.be/eEjbcOe9hsc?si=B3es7ZLHO8YxlAvZ
Unazingua mtaalamu 😁sijui mzeiya waulize wenye miongozo yao😂
Eeeh Yuko sawa kabisa,as long as umekubali mwenyewe uko upande wake hapana kumcheka na adui wa rafiki yako😁😂😂😂 Mi alinikataza kabisa kucheka pindi wakimsema..!! Ss hivi mi mpz mtazamaji nipo kuilinda brand yake