Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Naona mnajidanganya kuwa kelele zenu mitandaoni zinawasidia kusikika na kuonekana mnazo hoja kiasi cha kuanza kujipiga kifua.
Ninyi bado hamjapata sapoti kupitia mitandao mnajidanganya kama watoto wadogo.
Uhalisia wa mnachodhania kuwa mnasapoti kubwa kutoka kwa wananchi kupitia mitandao ni tofauti na hali ilivyo mitaani.
Kama kweli mngelikuwa na sapoti kubwa field na basi wananchi wangeandamana na kuunga mkono juhudi zenu kudai katiba mpya.
Chadema tatizo lenu hamna tofauti na raia wa Ukraine wanaopigana vita kupitia mtandao wa Twita huku field hali ni ngumu. Kuweni na busara za zaidi.
Ninyi bado hamjapata sapoti kupitia mitandao mnajidanganya kama watoto wadogo.
Uhalisia wa mnachodhania kuwa mnasapoti kubwa kutoka kwa wananchi kupitia mitandao ni tofauti na hali ilivyo mitaani.
Kama kweli mngelikuwa na sapoti kubwa field na basi wananchi wangeandamana na kuunga mkono juhudi zenu kudai katiba mpya.
Chadema tatizo lenu hamna tofauti na raia wa Ukraine wanaopigana vita kupitia mtandao wa Twita huku field hali ni ngumu. Kuweni na busara za zaidi.