Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
-
- #21
Mkuu nipo Tanganyika mkoa wa Katavi,hmana chuo hukuUko unakofanyia kuna chuo? Hiyo biashara inatembea sana karibu na chuo afu cha ajabu kila eneo inakofunguliwa haikawii kujaza wateja.
Kuna moja imefungua opposite na geti letu nyumbani mpaka nakuja kuigundua ishaanza kujaza watu wanasubiri hapo imeanza ndani ya wiki.
Utelezi unapata na tonge linaenda kinywaniasante mkuu kwa kushare hii story yako. The hustle is real....
Wewe ndy upo hadi kahama au ni mwingine?Mkuu nipo Tanganyika mkoa wa Katavi,hmana chuo huku
Mkuu ulipataje ujuz wa hiyo fani ulijifunza mwenyewe au ulifundishwa na mtuMkuu nipo Tanganyika mkoa wa Katavi,hmana chuo huku
Nilijifunza Kwa kauangalia na kufanya kipindi Cha likizo ya koronaMkuu ulipataje ujuz wa hiyo fani ulijifunza mwenyewe au ulifundishwa na mtu
Hawezi kuja kwenye vitu positive kama hivi,ingekuwa mwalimu kambaka mwanafunzi fasta angeshafika hapa
Bado sijafika huko labda hii likizo isiyo na makambi ntaweza kuja hukoWewe ndy upo hadi kahama au ni mwingine?
Kwenye vitu positive kama huwezi mwona,yule milango yake ya ufahamu iliumbwa kusense mabaya ya walimu tuTuwaitie mpwayungu village afanye nao kikao Cha dharula
πͺπͺπͺπͺπͺπͺπͺππ
Ulijifunza YouTube mkuu auNilijifunza Kwa kauangalia na kufanya kipindi Cha likizo ya korona
Kwa machinga mtaani,Kuna washikaji zangu wakurya nilikuwa naongozana nao,wakipaka naangalia,muda mwingine nawasaidia kuwaosha wateja wao,na kuwakata kucha aua kuwasugua GagaUlijifunza YouTube mkuu au
Sawasawa mkuu mm pia ni ur fellow CWT member napenda sana mwenzangu akiwa na side hustle na pia napenda sana hii kitu unayofnyaKwa machinga mtaani,Kuna washikaji zangu wakurya nilikuwa naongozana nao,wakipaka naangalia,muda mwingine nawasaidia kuwaosha wateja wao,na kuwakata kucha aua kuwasugua Gaga
Ulimaster hii fani ndani ya muda gani mkuuKwa machinga mtaani,Kuna washikaji zangu wakurya nilikuwa naongozana nao,wakipaka naangalia,muda mwingine nawasaidia kuwaosha wateja wao,na kuwakata kucha aua kuwasugua Gaga
Tafuta wale machinga ongozana nao,ni vyema ukajifinza on hand Kwa kuona,halafu mtaji wake hata siyo mkubwa ukiwa na 50k unakijaza hicho kikapu,na kukijaza tena ni baada ya miezi mitatu au minneSawasawa mkuu mm pia ni ur fellow CWT member napenda sana mwenzangu akiwa na side hustle na pia napenda sana hii kitu unayofnya
Wiki tuUlimaster hii fani ndani ya muda gani mkuu