Harakati za vyama vya upinzani Tanzania ni kupewa Ukuu wa Wilaya tu

Harakati za vyama vya upinzani Tanzania ni kupewa Ukuu wa Wilaya tu

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Toka CCM waligundue Hilo hawana presha kabisa na upinzani. Utaratubu huu alianza nao mkapa.

Issue sasa ninl kuwahonga madaraka ili wakae kimya kwani nao ni chumia tumbo. Hata ukiwahoji watakuuliza kwani wewe unalisha familia zetu?

Enzi hizo bwana Cheo Yupo moto kwelikweli mkapa aliivuruga UDP, Cheo na makanga (RIP) wakawa wanaongea lugha tofauti

Matokeo Yake Bwana Dan Makanga kapewa ukuu wa wilaya Huko Kigoma, Cheo kaachwa peke Yake Huo ndo ukawa mwisho wa UDP.

Hope nimeeleweka
 
Kama huridhiki na upinzani unda chama chako cha upinzani ufanye huo upinzani unaotaka
 
Sioni chama cha upinzani ambacho kitatetea na kuing’oa sisiem madarakani, nilitegemea chadema ila its bull of bullshit siku hizi. watu wanalamba asali waziwazi yani.

Kuna ajenga ya siri sana katika maridhiano haya. Ni lini Tutapata chama cha upinzani chenye nia ya dhati ya kufanya mageuzi nchini, kuleta neema na uafadhali kwenye maisha ya kila mtanzania.
 
Sioni chama cha upinzani ambacho kitatetea na kuing’oa sisiem madarakani, nilitegemea chadema ila its bull of bullshit siku hizi. watu wanalamba asali waziwazi yani,

Kuna ajenga ya siri sana katika maridhiano haya. Ni lini Tutapata chama cha upinzani chenye nia ya dhati ya kufanya mageuzi nchini, kuleta neema na uafadhali kwenye maisha ya kila mtanzania.
Ni KAZI yetu Mimi na wewe,sio CDM peke yake
 
Yanayoendelea CCM na CHADEMA
IMG-20230321-WA0004.jpg
 
Utakuwa huna akili.
Wala siyo tatizo, Lumumba tunawajua kwa vilemba vyenu. Duniani watu wote wangekuwa ana akili kama zenu sidhani kama tungekuwa na mapinduzi ya viwanda na technolojia.
 
Kaa kimya bweha wee.
Kama wewe siyo mbweha umejuaje. Utakuwa unamtindio wa ubongo, watu wenye vichwa vibovu kama wewe ndo wanahitaji sana hapa JF niwa nyooshe maana mmeshageuza jukwaa hili kuwa la wajinga wajinga
 
Kama wewe siyo mbweha umejuaje. Utakuwa unamtindio wa ubongo, watu wenye vichwa vibovu kama wewe ndo wanahitaji sana hapa JF niwa nyooshe maana mmeshageuza jukwaa hili kuwa la wajinga wajinga
Shwaaaini unafi r. waaa.
 
Kama wewe siyo mbweha umejuaje. Utakuwa unamtindio wa ubongo, watu wenye vichwa vibovu kama wewe ndo wanahitaji sana hapa JF niwa nyooshe maana mmeshageuza jukwaa hili kuwa la wajinga wajinga
Pumba, aavu mkuuu n. ..... du. wako. Kich wa. Kama maku ya ma ma yako...
 
Back
Top Bottom