The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Ni KAZI yetu Mimi na wewe,sio CDM peke yakeSioni chama cha upinzani ambacho kitatetea na kuing’oa sisiem madarakani, nilitegemea chadema ila its bull of bullshit siku hizi. watu wanalamba asali waziwazi yani,
Kuna ajenga ya siri sana katika maridhiano haya. Ni lini Tutapata chama cha upinzani chenye nia ya dhati ya kufanya mageuzi nchini, kuleta neema na uafadhali kwenye maisha ya kila mtanzania.
hahahahaaaaaaaaKama huridhiki na upinzani unda chama chako cha upinzani ufanye huo upinzani unaotaka
Binafsi sihitaji cham,a kupinga upuuzi najitosheleza mwenyeweKama huridhiki na upinzani unda chama chako cha upinzani ufanye huo upinzani unaotaka
Wala siyo tatizo, Lumumba tunawajua kwa vilemba vyenu. Duniani watu wote wangekuwa ana akili kama zenu sidhani kama tungekuwa na mapinduzi ya viwanda na technolojia.Utakuwa huna akili.
Kaa kimya bweha wee.Wala siyo tatizo, Lumumba tunawajua kwa vilemba vyenu. Duniani watu wote wangekuwa ana akili kama zenu sidhani kama tungekuwa na mapinduzi ya viwanda na technolojia.
Sasa lawama za niniBinafsi sihitaji cham,a kupinga upuuzi najitosheleza mwenyewe
Kama wewe siyo mbweha umejuaje. Utakuwa unamtindio wa ubongo, watu wenye vichwa vibovu kama wewe ndo wanahitaji sana hapa JF niwa nyooshe maana mmeshageuza jukwaa hili kuwa la wajinga wajingaKaa kimya bweha wee.
Shwaaaini unafi r. waaa.Kama wewe siyo mbweha umejuaje. Utakuwa unamtindio wa ubongo, watu wenye vichwa vibovu kama wewe ndo wanahitaji sana hapa JF niwa nyooshe maana mmeshageuza jukwaa hili kuwa la wajinga wajinga
Pumba, aavu mkuuu n. ..... du. wako. Kich wa. Kama maku ya ma ma yako...Kama wewe siyo mbweha umejuaje. Utakuwa unamtindio wa ubongo, watu wenye vichwa vibovu kama wewe ndo wanahitaji sana hapa JF niwa nyooshe maana mmeshageuza jukwaa hili kuwa la wajinga wajinga