Harakati za wagonga ulimbo kwenye kutafuta ajira

Harakati za wagonga ulimbo kwenye kutafuta ajira

Zile hela bila maelekezo ya baba kanituma utakuwa unazisikia tu redioni kuwa vijana kadhaa wapata mikopo ya vijana
Baba kasema ndio wametengewa zile pesa na jamaa hawasemi km zile pesa zimetengwa kwa ajili ya baba kasema, nisije nikawatukana bure maana wanatia hasira kumamamakezao
 
Kweli mkuu simulizi ni nyingi wengine walishachoka kupambana wakaamua kurudisha mpira kwa kipa, ngoja tuone muendelezo ulirudisha mpira wa kipa?
Basi bhana mara zote nilikuwa nikimaliza kazi zangu as waiter nilikuwa najiinamia na kumuuliza Mungu maswali haya.

Hivi Mungu kwanini uliruhusu wazazi wakope na wauze hata mashamba afu wanisomeshe lakini kiko wapi leo nafungua tu vizibo hapo nilikuwa napenda kuusikiliza wimbo wa christian bella_usilie hapo nawaza huku ule wimbo ukiimba, ile verse Bella anasema "Usilie Kaza Moyo" ilikuwa inanipa vimachozi, ila nikagundua hata huu mchongo wa bar kuupata kilipigwa kipute cha interview kwa wagonga ulimbo kadhaa hivo hata kupata ilikuwa neema tu.Hapo nikawa najisemea asante Mungu kwa kila kitu
 
Me Sijui kwanini mawazo ya kuajiriwa yalinitoka pindi nilipohitimu ELIMU yangu ya o level, nilichukua ELIMU kama nyenzo ya kupanua uwezo Wangu wa kufikiri


Haijalishi familia ni masikini au tajiri ukitaka kuajiriwa utaajiliwa tu na ukitaka kujiajiri utajiajiri tu 👉aonavyo MTU nafsini mwake NDIVYO alivyo kwahiyo ukiwaza kuajiriwa itakuwa hivyo haijalishi hali yako ya maisha ikoje B'se mawazo Ndio Msingi wa MAISHA yetu
 
Basi bhana mara zote nilikuwa nikimaliza kazi zangu as waiter nilikuwa najiinamia na kumuuliza Mungu maswali haya.

Hivi Mungu kwanini uliruhusu wazazi wakope na wauze hata mashamba afu wanisomeshe lakini kiko wapi leo nafungua tu vizibo hapo nilikuwa napenda kuusikiliza wimbo wa christian bella_usilie hapo nawaza huku ule wimbo ukiimba, ile verse Bella anasema "Usilie Kaza Moyo" ilikuwa inanipa vimachozi, ila nikagundua hata huu mchongo wa bar kuupata kilipigwa kipute cha interview kwa wagonga ulimbo kadhaa hivo hata kupata ilikuwa neema tu.Hapo nikawa najisemea asante Mungu kwa kila kitu
Ndio mkuu tuendelee hapo baada ya hapo ikawaje akahamia kuuza karanga au kuzugia kwenye supu ya pweza au ulichukua maamuzi magumu ukaanza kuchoma mahindi kwenye njiapanda?
 
Me Sijui kwanini mawazo ya kuajiriwa yalinitoka pindi nilipohitimu ELIMU yangu ya o level, nilichukua ELIMU kama nyenzo ya kupanua uwezo Wangu wa kufikiri


Haijalishi familia ni masikini au tajiri ukitaka kuajiriwa utaajiliwa tu na ukitaka kujiajiri utajiajiri tu 👉aonavyo MTU nafsini mwake NDIVYO alivyo kwahiyo ukiwaza kuajiriwa itakuwa hivyo haijalishi hali yako ya maisha ikoje B'se mawazo Ndio Msingi wa MAISHA yetu
Upo sahihi 100%

Sema kila mtu huwa na platform ya kutokea, Ajira kw wagonga ulimbo ni daraja la kutafutia mtaji.

Pili kwa baadhi ya watu mimi simo,ambao biashara hata umpe milioni tano hawezi fanya hawa wanabaki kuwa wanunuzi tu.

KWA SISI WAGONGA ULIMBO WENYE NDOTO KUBWA PASIPO MITAJI AJIRA NI PLATFORM YA KUJIPOSITION NDIO MAANA TUNAFOSI KINGI KWA HARAKATI ZA KIUGONGA ULIMBO KAMA KUUZA KARANGA NA JUISI ILA GOVT IKITANGAZA KAZI HATUACHI KUTUPA KARATA
 
Me Sijui kwanini mawazo ya kuajiriwa yalinitoka pindi nilipohitimu ELIMU yangu ya o level, nilichukua ELIMU kama nyenzo ya kupanua uwezo Wangu wa kufikiri


Haijalishi familia ni masikini au tajiri ukitaka kuajiriwa utaajiliwa tu na ukitaka kujiajiri utajiajiri tu 👉aonavyo MTU nafsini mwake NDIVYO alivyo kwahiyo ukiwaza kuajiriwa itakuwa hivyo haijalishi hali yako ya maisha ikoje B'se mawazo Ndio Msingi wa MAISHA yetu
Kwa hio wewe sasa hivi unamiliki nyumba ngapi za kupangisha au una miliki kampuni ngapi mpaka sasa au ndio wale unaishi kwenye cordor moja hivi iliyojichokea somewhere before ilikua inatumika km store umerundikwa humo na matakataka yote yenye kunuka uvundo km unaishi shimoni unalalia maboksi km godoro na huna hata kandambili unatembelea kiatu kimoja huu mwaka wa 4 huna hata shati jipya 1 Chrismas na Mwaka mpya kwako ni km jambo la anasa
 
Back
Top Bottom