Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Hivi tanzania watu kama wamasai au wakurya hawajui kucheza mpira tupate kikosi cha maana, ukicheki timu yetu japo tumejutahidi lakini pia mipira ya juu (mirefu) imetugharimu sana
 
Safi kabisa Kenya mmejua kunifurahiisha Kenyaaaa,dadiooo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
🤣 😂 😂 🤣 😂 😂 🤣
FB_IMG_1561674519493.jpg
 
Diamond hawezi kutukanyangia Tanasha halafu bado Taifa Stars wakanyange Harambee Stars
 
Umefungua Uzi ukajificha.
Harambee stars nilikuwa MWENYEWE hapa nimepambana wewe unakuja baada ya ushindi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilishindwa na multitasking ikabidi nitazame mpira Kwanza afu nijiunge nawe ila Nina furaha tumepata ushindi.
 
Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
Ooh na na, what's my name?Harambee Stars
Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
Ooh na na, what's my name? Harambee Stars Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
What's my name? Omolo
What's my name? Olunga
Yeah, I heard you good with them Taifa Stars Yeah you know word of mouth The square root of Afcon is Magufuli Bashit-e, right?

game over nilikuambia lazima tukung'ute Taifa failures....@ichoboy01 tukikohoa mnakuja mbio.
NOMA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji482][emoji482]
 
Hii tabia ya kudaka badala ya kupiga mbali mpira ambao hana uhakika nao huwa haachi.
Makosa ya hv yanamgharimu mno.....au usikute alikuwa kwenye munkari zake na yeye....dah imeniuma sana hii gemu halafu anatokea mtu huko ananiambia mm ccm cjui bashite yaani dadeq mama-e zao...
 
Back
Top Bottom