Hard times will always reveal true friends

Hard times will always reveal true friends

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1566880463923.jpeg
 
Rafiki yangu mpenzi alikuwa anafanya masters lakini si mzoefu wa computer. Alikuwa ana submit essay.

Nilikaa kwake mpaka saa sita usiku amemaliza kuandika, tume proof read na mume wake ndiyo nikamsaidia ku submit kwenye blackboard

Kujitolea muda, pesa na mawazo ndiyo urafiki
 
Rafiki yangu mpenzi alikuwa anafanya masters lakini si mzoefu wa computer. Alikuwa ana submit essay.

Nilikaa kwake mpaka saa sita usiku amemaliza kuandika, tume proof read na mume wake ndiyo nikamsaidia ku submit kwenye blackboard

Kujitolea muda, pesa na mawazo ndiyo urafiki

Kuna broo wangu nilimkopesha laki 4 mpaka leo hataki kurudisha.

Kuna broo mwingine ana laki 4 zangu naye ame-mute utadhani sio yeye.

Kuna dogo nlimfanyia applications za diploma kwa pesa zangu akapata chuo now hata simu zangu hapokei.

Kuna dogo nimemfanyia applications kapata MD ingawaje ana II (technique know-how), lkn saivi ananipita sometimes hasalimii.

Ubandidu tunafundishana sisi kwa sisi binadamu.[/color]
 
Rafiki yangu mpenzi alikuwa anafanya masters lakini si mzoefu wa computer. Alikuwa ana submit essay.

Nilikaa kwake mpaka saa sita usiku amemaliza kuandika, tume proof read na mume wake ndiyo nikamsaidia ku submit kwenye blackboard

Kujitolea muda, pesa na mawazo ndiyo urafiki
Vipi body Chemistry haikusumbua ? saa sita na mume wa mtu ??!!!
 
Kuna broo wangu nilimkopesha laki 4 mpaka leo hataki kurudisha.

Kuna broo mwingine ana laki 4 zangu naye ame-mute utadhani sio yeye.

Kuna dogo nlimfanyia applications za diploma kwa pesa zangu akapata chuo now hata simu zangu hapokei.

Kuna dogo nimemfanyia applications kapata MD ingawaje ana II (technique know-how), lkn saivi ananipita sometimes hasalimii.

Ubandidu tunafundishana sisi kwa sisi binadamu.[/color]

Tenda wema uwende zako
 
Back
Top Bottom