Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana njtafanya harusi ya kishkaji isiyo na mbwembwe yenye watu muhimu tuu.Kwenye harusi yangu, niliwatumia ujumbe rafiki zangu wa karibu sana sana.Nakumbuka tukiwa pamoja walisema miongoni mwetu anatakaye wahi kuoa, watashiriki kwa udi na uvumba. Cha ajabu huwezi amini kati yao 13, aliyetoa mchango ni mmoja tu aliyekuwa anachukua masters udom tena anajilipia mwenyewe. Wao kila nikipiga simu hawapokei, nikawaomba waje tu wanitie moyo hata kama hawana mchango lakini hata kunijibu msg walipiga kimya..Ninavyoandika comment hii kati ya 13 wa nne wanaoa mwaka huu.wametengeneza magroup ya wahtsapp wameniunga na mimi wakiomba mchango wa hali na mali kwenye harusi zao..HAKI SITOWEZA CHANGA HATA CENT.
Nimeitafuta hii video clip, imenipa nguvu sana sana na kunitia jeuri kubwa.
Mwenye macho haambiwi tazama[emoji116]liwe somo kwa wengineView attachment 1191189
Duu mpaka masters bado si mzoefu wa kutumia computer, hongera endelea kuwa na moyo huo huo.Rafiki yangu mpenzi alikuwa anafanya masters lakini si mzoefu wa computer. Alikuwa ana submit essay.
Nilikaa kwake mpaka saa sita usiku amemaliza kuandika, tume proof read na mume wake ndiyo nikamsaidia ku submit kwenye blackboard
Kujitolea muda, pesa na mawazo ndiyo urafiki
Kwenye harusi yangu, niliwatumia ujumbe rafiki zangu wa karibu sana sana.Nakumbuka tukiwa pamoja walisema miongoni mwetu anatakaye wahi kuoa, watashiriki kwa udi na uvumba. Cha ajabu huwezi amini kati yao 13, aliyetoa mchango ni mmoja tu aliyekuwa anachukua masters udom tena anajilipia mwenyewe. Wao kila nikipiga simu hawapokei, nikawaomba waje tu wanitie moyo hata kama hawana mchango lakini hata kunijibu msg walipiga kimya..Ninavyoandika comment hii kati ya 13 wa nne wanaoa mwaka huu.wametengeneza magroup ya wahtsapp wameniunga na mimi wakiomba mchango wa hali na mali kwenye harusi zao..HAKI SITOWEZA CHANGA HATA CENT.
Nimeitafuta hii video clip, imenipa nguvu sana sana na kunitia jeuri kubwa.
Mwenye macho haambiwi tazama[emoji116]liwe somo kwa wengineView attachment 1191189
Very true
Nipo kwenye wakati mgumu kuwahi kutokea kwenye maisha yangu
Amebakia mtu mmoja tu yaani mmoja tu[emoji24][emoji24] na Mungu wangu.
Nipo kwenye wakati mgumu kuwahi kutokea kwenye maisha yangu
Amebakia mtu mmoja tu yaani mmoja tu[emoji24][emoji24] na Mungu wangu.
daa pole sana mkuu, ipo siku itakua historia hicho unachopitia. Bwana awe nawe katika wakati huu mgumuNipo kwenye wakati mgumu kuwahi kutokea kwenye maisha yangu
Amebakia mtu mmoja tu yaani mmoja tu[emoji24][emoji24] na Mungu wangu.
Nipo kwenye wakati mgumu kuwahi kutokea kwenye maisha yangu
Amebakia mtu mmoja tu yaani mmoja tu[emoji24][emoji24] na Mungu wangu.
Pole sana ni kipindi tuu utavuka na kukaa sawa tena, yaani unaweza shika simu na huna wa kumpigia wkt simu Ina majina kibao.
Nipo kwenye wakati mgumu kuwahi kutokea kwenye maisha yangu
Amebakia mtu mmoja tu yaani mmoja tu[emoji24][emoji24] na Mungu wangu.
Sio tu wa kupigia, hata wa kupokea/wa kukupigia pia ndio hupotea kabisaaa kila mtu anajali maisha yake.Pole sana ni kipindi tuu utavuka na kukaa sawa tena, yaani unaweza shika simu na huna wa kumpigia wkt simu Ina majina kibao.
Pole dear, kila kitu kina mwisho. Endelea kuweka matumaini kwa Mungu. Wala usitetereke kwa hilo.