Umeona KkHa hahahahaha hatari sana,
bado sijaamini Maulid kitenge anaweza kufanya Tukio hili la KIJASILI mbele ya mwana usalama ,hali iliyopelekea mwana Usalama kuingia hofu.Yaani nimerudia kuangalia hii clip zaidi ya mara 10.Hongera Kitenge Hongera sana .Mungu akupe Maisha marefu.Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]
Na kama angekula Shaba ya tako demu wake Gigy Money msandambwa angemuachaHahaha Kiki zitamuua huyu dogo
Atapigwa risasi ya tako awe anakalia kichwa
Kumbe ana fani nyingine ya kufukuza upepo! akaona isiwe tabu kiki nyingine ni goal kiki.[emoji23]
Harmorapa atakuwa na undugu na Mr Bean si bure!
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]