Umeona KkHa hahahahaha hatari sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona KkHa hahahahaha hatari sana,
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]
Na kama angekula Shaba ya tako demu wake Gigy Money msandambwa angemuachaHahaha Kiki zitamuua huyu dogo
Atapigwa risasi ya tako awe anakalia kichwa
Kumbe ana fani nyingine ya kufukuza upepo! akaona isiwe tabu kiki nyingine ni goal kiki.[emoji23]
Harmorapa atakuwa na undugu na Mr Bean si bure!
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]