Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Kilichonistua Inakuwaje Anaweka Risasi Kwenye Chemba, Halafu Anairudisha Kiunoni Na Kuanza Purukushani Ikifyatuka Je??.

Nani Aliyemfundisha Kuwa Matumizi ya Silaha za Moto Yako Hivyo?

Hili Jeshi Letu la Polisi Limejaa Wahuni Wengi Sana Kuanzia Ngazi za Juu Mpaka Hawa Askali Kanzu

Tanzania Inarudi Kwenye Dark Days Kama Mambo Yenyewe ni Hivi
Duh, chemba ndio nini aisee?
 
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]


Uyu nae bwege tuuu.....ila nimempenda nape ameonyesha uwanaume.......wanakuja tuuu,,,,na nina furai sana kinachooendelea mana ata vipofu wataona kuwa ii ni blue na co white
 
Hamorapa kwa mbio zile hata usan bolt hamfikiii[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji2] [emoji3]
 
Screenshot_2017-03-23-19-50-31-1.png
 
Mie mwenyewe nimeshangaa!I expected them to be people from the same system lakini hawaonyeshi kuwa na team work.
Hili tukio limenistua sana,i keep on repeating again and again hii clip siamini nnachokiona.
Mpaka raia wanasogea na kuwatulizeni maafisa usalama,sasa nani aliye salama,wewe mwenye fani yako au yule raia mbumbumbu?Doh!
Swali kubwa hilo, NANI ALIESALAMA WEWE AFISA USALAMA AU RAIA WA KAWAIDA?
 
Sasa harmonapa kilichompeleka hapo ni nin jamani,mambo mengine ni ya kujitakia
 
Habari zilizonifikia hivi punde, huko aliko Hamorapa bado anatimua mbio tu.
 
Yani huyu hamo kiki asingekuwepo now tungekuwa tuna msifia maulid kitenge me kanifurahisha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
But [emoji111]
 
Huyo afisa mbona ngesem sana. Ndio shida kupewa vitengo kwa kupiganisha. Anaweka risasi chemba Alaf anarudisha mfukoni, ikimfumua ndukum je.? Pisto iko nje nje, je ukiporwa utafanyaje.? Silaha inatoka kwa sababu maalum. Shame kabisa kwa vyombo vya ulinzi.
 
Back
Top Bottom