green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Hawaja mchapa hata ya tako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, chemba ndio nini aisee?Kilichonistua Inakuwaje Anaweka Risasi Kwenye Chemba, Halafu Anairudisha Kiunoni Na Kuanza Purukushani Ikifyatuka Je??.
Nani Aliyemfundisha Kuwa Matumizi ya Silaha za Moto Yako Hivyo?
Hili Jeshi Letu la Polisi Limejaa Wahuni Wengi Sana Kuanzia Ngazi za Juu Mpaka Hawa Askali Kanzu
Tanzania Inarudi Kwenye Dark Days Kama Mambo Yenyewe ni Hivi
Maulid kitenge mtangazajinaomba kumjua huyu mkuu aliyeepusha shari mwenye suti ya pink ,da anaujasili sana sana
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]
PinguIle mfuko wa kushoto wa Jeans, nini ile?
Mimi pia, kule kuna habari za uhakikaNgoja nisubr page ya dada mange atamsema tu
Let us wait
Hakuna haraka afrika
Anajua kukamatia fursaHamorapa kanichekesha sio kwa mbio zile yaani kapotea fastaa... chezea Bastola lol
Swali kubwa hilo, NANI ALIESALAMA WEWE AFISA USALAMA AU RAIA WA KAWAIDA?Mie mwenyewe nimeshangaa!I expected them to be people from the same system lakini hawaonyeshi kuwa na team work.
Hili tukio limenistua sana,i keep on repeating again and again hii clip siamini nnachokiona.
Mpaka raia wanasogea na kuwatulizeni maafisa usalama,sasa nani aliye salama,wewe mwenye fani yako au yule raia mbumbumbu?Doh!