mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Hata mie nimeshangaa ushujaa wa wana habari wakati Harmo mbio anachanja mbuga wao wanaendelea kuchukua matukio. Lile jambo lingetokea bila kuwepo watu huvi ss tungesema mengine.Pia kuna somo katika hiyo clip. Watu wengi waliokuwepo pale hawaonekani kutishika kwa kutolewa silaha hiyo. Niliwahi kuwaambia watu kuwa, usiombe kuwaongoza watu waliojizira (waliokata tamaa) mwisho wake huwa mbaya sana.
Kama mamlaka husika hawataitafakari video hiyo na kujifunza kitu, basi tutaianza Tanzania iliyotajwa tajwa.
MUNGU HAWEZI KUTUPATIA AMANI WAKATI TUNAMUOMBA HUKU TUMESHIKA MAPANGA.
Sijaelewa pia Kitenge anamaanisha nini kumwambia jamaa utaharibu mambo sasa"
Sijakuelewa mkuuTujiandae kusikia tusivyovijua hata akitawala miaka mia ipo siku ninayoisubiri kwa hamu
VERY TRUE!Pia kuna somo katika hiyo clip. Watu wengi waliokuwepo pale hawaonekani kutishika kwa kutolewa silaha hiyo. Niliwahi kuwaambia watu kuwa, usiombe kuwaongoza watu waliojizira (waliokata tamaa) mwisho wake huwa mbaya sana.
Kama mamlaka husika hawataitafakari video hiyo na kujifunza kitu, basi tutaianza Tanzania iliyotajwa tajwa.
MUNGU HAWEZI KUTUPATIA AMANI WAKATI TUNAMUOMBA HUKU TUMESHIKA MAPANGA.
Hebu acha uzushia as if wotye hatujaiona hiyo video. Actually namsifu sana kijana wa usalama as aliona akifyatua risasi yatatokea madhara makuu kinyume cha kumuona Kitenge shujaa ambaye alikaribia kusababisha maafa makubwa. Nape ni uelewa alikubali ile amri na kuanza kurudi ndani ya gari na hakupenda vurugu lakini kaja shabiki matonge akataka kuharibu kabisa usalama. Kitenge alaumiwe kwa nguvu zote!Jamaa anaonesha alidhamiria kuua kabisa, tushukuru Mungu tu hilo halikutokea, ukiangalia alitoa bastola kwa haraka sana na hakukua na mabishano makali kivile ya kumfanya atoe ile bastola, anyway ukombozi wa nchi hauwezi kuja ghafla toka ijumaa na hii week naona tupo kwenye njia ya ukombozi, soon tutakuwa wote tuna haki sawa na nchi yetu itafuata misingi ya haki na sheria.
Acha ujinga na dharauYeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
Siraha ni noma aisee.... Wara cna aha hamu ya kuuriza popoteJamani mbona mnamheka Hamo Rappa kukimbia baada ya kuona siraha? Msicheze na siraha jamani, ulizeni wale watangazaji wa SHILAWADU wako wapi baada ya kuona ile mitutu ya Bashite, mpaka leo hawajulikani walipo
The guy is silly somehow you can't run faster than bulletyaaani nimecheka sana
Kweli kabisa Mkuu.Jamani mbona mnamheka Hamo Rappa kukimbia baada ya kuona siraha? Msicheze na siraha jamani, ulizeni wale watangazaji wa SHILAWADU wako wapi baada ya kuona ile mitutu ya Bashite, mpaka leo hawajulikani walipo