Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Pia kuna somo katika hiyo clip. Watu wengi waliokuwepo pale hawaonekani kutishika kwa kutolewa silaha hiyo. Niliwahi kuwaambia watu kuwa, usiombe kuwaongoza watu waliojizira (waliokata tamaa) mwisho wake huwa mbaya sana.

Kama mamlaka husika hawataitafakari video hiyo na kujifunza kitu, basi tutaianza Tanzania iliyotajwa tajwa.

MUNGU HAWEZI KUTUPATIA AMANI WAKATI TUNAMUOMBA HUKU TUMESHIKA MAPANGA.
Hata mie nimeshangaa ushujaa wa wana habari wakati Harmo mbio anachanja mbuga wao wanaendelea kuchukua matukio. Lile jambo lingetokea bila kuwepo watu huvi ss tungesema mengine.
 
Tujiandae kusikia tusivyovijua hata akitawala miaka mia ipo siku ninayoisubiri kwa hamu
2696e555ba422ab4dc2ea24f877b8723.jpg
Sijakuelewa mkuu
 
Pia kuna somo katika hiyo clip. Watu wengi waliokuwepo pale hawaonekani kutishika kwa kutolewa silaha hiyo. Niliwahi kuwaambia watu kuwa, usiombe kuwaongoza watu waliojizira (waliokata tamaa) mwisho wake huwa mbaya sana.

Kama mamlaka husika hawataitafakari video hiyo na kujifunza kitu, basi tutaianza Tanzania iliyotajwa tajwa.

MUNGU HAWEZI KUTUPATIA AMANI WAKATI TUNAMUOMBA HUKU TUMESHIKA MAPANGA.
VERY TRUE!

watu ndo kwanza wametulia wanashoot tu!
KITENGE NDO KAMALIZA KABISA!
 
Kiki zingine bhana zitatutokea zitawatokea puani. Dogo aliposikia press ya Nape akawahi kutafuta kiki. Dogo kwa fursa!
 
Jamaa anaonesha alidhamiria kuua kabisa, tushukuru Mungu tu hilo halikutokea, ukiangalia alitoa bastola kwa haraka sana na hakukua na mabishano makali kivile ya kumfanya atoe ile bastola, anyway ukombozi wa nchi hauwezi kuja ghafla toka ijumaa na hii week naona tupo kwenye njia ya ukombozi, soon tutakuwa wote tuna haki sawa na nchi yetu itafuata misingi ya haki na sheria.
Hebu acha uzushia as if wotye hatujaiona hiyo video. Actually namsifu sana kijana wa usalama as aliona akifyatua risasi yatatokea madhara makuu kinyume cha kumuona Kitenge shujaa ambaye alikaribia kusababisha maafa makubwa. Nape ni uelewa alikubali ile amri na kuanza kurudi ndani ya gari na hakupenda vurugu lakini kaja shabiki matonge akataka kuharibu kabisa usalama. Kitenge alaumiwe kwa nguvu zote!
 
yaani harmorapa kiki zitamuua kwa kweli kwa hizo mbio lazima ashinde kill marathon 2018
 
Jamani mbona mnamheka Hamo Rappa kukimbia baada ya kuona siraha? Msicheze na siraha jamani, ulizeni wale watangazaji wa SHILAWADU wako wapi baada ya kuona ile mitutu ya Bashite, mpaka leo hawajulikani walipo
Kweli kabisa Mkuu.
 
Silaha sio kitu cha mchezo MAULID KITENGE hakukiona chuma kama angekiona kama alivyo kishuhudia harmorappa asinge sogea pale.
 
Atleast he was there.
Nape alijaribu kutetea brand za baadhi wa wasanii, cha ajabu hao aliokuwa anawatetea hawakuonekana.
 
Embu ondoa porojo, uliona zimelengwa walipo au kubebwa tu?

Msikuze mambo nyie.
 
Back
Top Bottom