Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola


Hapo alitakiwa askari polisi mwenye uniform. Na mtu sahihi kabisa alikuwa yule mama, RPC, wa Kinondoni.
 
Kuna huyo alieva shat jeupe kashuka kwenye gari moja nanape nae kiunoni mzigo unaonekana kabisa alafu wala hanaa presha itakuwa nae ni wale wale sema ye bado anatimiza jukumu lake la kikazi sema hako kalikovaa tishet nyeusi kana mdomo mrefuuu
 
Sijawah ona bunduk dah kumbe tamu vile...chezea roho harmo rapa muoga iyo
 
Kazd nae harmo rapa kila pahala atafute kick sehem zngne unapata kiki na pastola
 
Hahhh!! Kaona manati ya mzungu!! Sasa hii ndo kiki ya ukweli kwa dogo!!
 
unataka kusemaje yani, sijaelewa mantiki yako
 
Alijua mwisho wa kula ubwabwa ndo umefika...teeh teeh!!!
 
Mi kutishiana bastola naogopa jamani.
Bora Harmorapa alipata nguvu ya kukimbia
Mi nahisi ningelipuliwa nayo maana ningemfata kumwambia msamehe usimpige.
 
Nape anavunjiwa heshima? ivi katenda kosa gani kwani mpaka jamaa aende kumzuia? Kweli CCM imevamiwa mara hii. Hii nchi inapokwenda, mhhh Mugabe huyoooo
 
Hamorapa Anatisha sana Mmeona Mbio Zake Baada ya Mweshimiwa Nape kutolewa Bastora Alovyo kimbia mbio.

Hahaha

Pole sana Hamorapa Punguza misele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…