kweli mkuu au unanidanganya ,kama kweli ni kitenge siamini huu ujasili ameutoa wapiMaulid Kitenge
Mkuu punguza haraka ya kupost jaribu kupitia ulichokiandika kwanza.Weeee chezea chamoto wewe atakama ujalengwa kwenye wengi akuma ustenepa yaweza kukupata sio mlengwa
Kwa Kuangalia tu hii scenario unaweza gundua mafunzo yanatolewa kwa vijana wetu miaka hii ya karibu hayakidhi mahitaji kabisa!! Pale ilikuwa ni diplomasia tu inemaliza mambo sasa mtu nipe kitambulisho unanionyesha Bastola kwani nimekwambia nataka Bastola? Halafu wakati huo huo unaonekana kwenye macamera ya waandishi Wa habari! Kuanzia juu hadi chini hamna cha maana
Kuna huyo alieva shat jeupe kashuka kwenye gari moja nanape nae kiunoni mzigo unaonekana kabisa alafu wala hanaa presha itakuwa nae ni wale wale sema ye bado anatimiza jukumu lake la kikazi sema hako kalikovaa tishet nyeusi kana mdomo mrefuuuHivi huyu Jamaa aliemtolea Nape Bastola ni nani?
Yaani kabisa ndio wamefundishwa hivyo huko TISS? Yaani yeye hawezi kujenga hoja? Au anafikiri mtu mpaka kufikia hatua ile anaogopa hizo Risasi?
Kwanza kavaa jeans ya kishamba sana kapelo ya kikoromije! Wenzake wote wako smart and Busara za Hali ya juu.
Inamaana yeye Ndiye aliambiwa Kamtoe akikataa PIGA RISASI ILKUSUDI TUTAWALE BILA OBSTACLES?
Mimi kama Mtanzania sijapenda kabisa lakini uzuri wa KARMA ni kama Kioo, Haidanganyi hata ufe Leo, Itakuandama tu.
Ewe mtoa uhai kwa Bastola Amewaaibisha sana Wenzio Leo, Huyo Bado ni Mbunge na Anajua siri nyingi sana za chama na serikali huenda kuliko wewe na huyo mwenzio aliebariki matumizi ya Bastola.. mmeona Bunduki na Bastola ndio mkombozi Wenu...
Mungu Haendi Likizo.
Maulidi kajitoa muhanga.. Anamsukuma mshikaji vile bila woga.. Au wanafahamiana..naona maulid kitenge akisaidia kutuliza ghasia na povu la yule askari kanzu
unataka kusemaje yani, sijaelewa mantiki yakoHiyo move alishaijua mapema, na ukiangalia yule mwenye shati la pink waliekuja nae alikuwa seat ya nyuma na aliposhuka tu na kufunga mlango alimwacha Nape pale kama chambo vile, halafu yule kapero alipomfuata tu Nape na kutoa chuma, na yule aliyekuja na Nape alitaka kutoa chuma ila akaamua kusitisha na kumtuliza huyo mwingine, Mr Kapero. Halafu ukute Nape nae tayari alikuwa amevaa a bulletproof vest.
Hii movie ilivyokaa ni kama vile pale 'Victoria' na 'Mbweni' pamepasuka!!
Nimecheka hamorapa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
..poor nape[emoji22][emoji22]
Kesi anashitakiwa nani? Wanasiasa ni kukaa nao mbalihii si kesi jamani ?
Kweli...kuna video zinazomuonesha clearer kabisa. Nahisi ni mazoezi anayoyafanya.kweli mkuu au unanidanganya ,kama kweli ni kitenge siamini huu ujasili ameutoa wapi