AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,897
huyo afisa hana uwezo...anatakiwa kufukuzwa. hajaona wenzie pale wametulia kimyaa? hivi anafikiri kwaakili yake angeweza kumuua nape pale mbele za watu? alifikiri nape ataogopa bastola wakati kuna watu wamejaa peupeee? hao ndio maafisa wetu tuliowafundisha? alitoa bastola kwaajili ya nini? kumtishia kwamba asipoenda ndani atampiga bastola? halafu taifa lingekuwa katika hali gani mbunge amepigwa bastole mbele za watu? huyo ni mjinga na anastahili kufukuzwa kazi. hajui kazi kwasababu kama angekuwa intelijensia mzuri kwanza wangemzuia hukohuko kabla hajafika hadi pale. wamesubiri hadi amefika pale ndio wanajifanya kuonyesha vimabavu vyao, kama wanamini kutumia nguvu ni ushidi waende iraq na syria huko wakakutane na wanaume wenzao.