Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Siasa kitu cha ajabu sana

[emoji2][emoji2][emoji2]harmorapa sijui atakua kafika wapi maana hizo mbio si mchezo
 
Tumpeleke mbio za Olympic maana ameonyesha anaweza .......sijui ingetoa mlio angezimia kabisa
 
Naomba naomba ya harmorapa,aisee huyu dogo ni comedian na anatumia fursa
 
fry to hell nimekufuatia wewe mwanadada ila sasa umevunja sana utu wako. Please be a bit quite hapa siyo movie unajua unaweza in future ukajuta haya yote uliyokuwa unapost. Hujui unamshabikia nani kama ni Bashite anaweza asiwe yeye kama ni Makonda anaweza asiwe yeye wewe unapokea tu at the end of the day????@?

Huyo ni Bashite mwenyewe. Hujamshtukia tu
 
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]


Sasa hivi Ngosha amegundua style mpyà ya kihuni ya ku-intimidate watanzania
 
HAPA SIO CCM NCHI IMEPIGWA MNADA NA ADOLF YUPO KTK UBORA WAKE !SIO MDA MAPINDUZI YAJA!BASTOLA HADHARAN AIBU YA MWAKA
 
Kwa hizo mbio saiv anakaribia kuimaliza Lindi anaingia Ntwala
 
Ile mfuko wa kushoto wa Jeans, nini ile?
 
Duh aiseee Harmo rapa amenifanya nicheke kwa nguvu maana kuvumilia nimeshindwa[emoji23][emoji23]
 
Bastola yenyewe aliiweka mkono wa kushoto wakati yeye anatumia mkono wa kulia, huyu tiss hana uzoefu wa kutumia bastola, kwanza anaitoa bastola kishamba kabisa
Duh, umeongea ki profesheno aisee. Embu tufafanulie sisi raia.

Umejuaje hata mkono anaotumia?

Pia, profesheno hua bastola wanatoaje?
 
Maulid Baraka wa Kitenge ametisha sana leo amefanya kazi ya maana kwelikweli nadhani amesaidia kitu kikubwa sana pale. Good job Kitenge.
 
Hhaahha ....Jamaa anavichekesho ....Naona amenunua Toyo ghafla
 
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
[HASHTAG]#HarmoBolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BoltRappa[/HASHTAG]


Uyo nae bwege tuuu.....
 
Back
Top Bottom