Halafu umzingue Sara na michepuko yako ya kimakonde, ukienda Italy mama Sara ataku.mafia, c.unawajua Waitaliano?RASMI: HARMONIZE AFUNGA NDOA NA SARA
Harmonize usiku wa jana amefunga ndoa na mpenzi wake mwenye asili ya Italy "Sara" katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam. Pichani Mama Sara, Harmonize na Sara
Neno moja la pongezi kwake tafadhali
View attachment 1201407
View attachment 1201408
View attachment 1201416
Najiandaa kuja Dar kuharibu mipango....Umekosa vifaa tu vya kukupaisha angani kwa safari za usiku..
Alafu mbona kama amekaa na sarah muda mrefu katika mahusiano bila sarah kupata D kubwa au harmo ni tasa[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Duh! nyie walimwengu bhana...Hamna kitu hapo, hiyo ndoa haina mwaka haijavunjika, naipa mwaka 1 tu...
Wazungu uki cheat maswala ya divorce na separation of properties ni vitu vya kawaida sanaAtulize kikojoleo,wazungu moyo wa uvumilivu hawanaga.
Duuh.. Nimecheka mpaka nikapaliwa..Ukiendelea kidogo unaweza kuwa mchawi jitahidi
Mungu kaumba kila mtu na wake kaeni chonjo enyi walimwengu (sikumbuki nani aliimba huu wimbo it's old school though)RASMI: HARMONIZE AFUNGA NDOA NA SARA
Harmonize usiku wa jana amefunga ndoa na mpenzi wake mwenye asili ya Italy "Sara" katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam. Pichani Mama Sara, Harmonize na Sara
Neno moja la pongezi kwake tafadhali
View attachment 1201407
View attachment 1201408
View attachment 1201416
Wazungu uki cheat maswala ya divorce na separation of properties ni vitu vya kawaida sana
Duh...kweli dunia imeisha...skuiz kuzaa nje ya ndoa watu mnaona normal kabisaAlafu mbona kama amekaa na sarah muda mrefu katika mahusiano bila sarah kupata D kubwa au harmo ni tasa[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Naiweka Museum hii commentHamna ndoa hapo, kuna wimbo unatarajia kutoka wiki moja au mbili kutoka sasa ambao hajamshirikisha mtu (ameimba peke yake).
Uchawi wa ujanani huwa nauogopa sanaHamna kitu hapo, hiyo ndoa haina mwaka haijavunjika, naipa mwaka 1 tu...
Hamna ndoa hapo, kuna wimbo unatarajia kutoka wiki moja au mbili kutoka sasa ambao hajamshirikisha mtu (ameimba peke yake).
ngumu sana iyoAtulize kikojoleo,wazungu moyo wa uvumilivu hawanaga.