Harmonise amefunga ndoa na Sarah

Harmonise amefunga ndoa na Sarah

Hongera zake harmonize. Kijana alitulia au kama alikuwa anachepuka basi alifanya kwa siri
 
Umekosa vifaa tu vya kukupaisha angani kwa safari za usiku..
Najiandaa kuja Dar kuharibu mipango....
hqdefault.jpg
 
Alafu mbona kama amekaa na sarah muda mrefu katika mahusiano bila sarah kupata D kubwa au harmo ni tasa🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
[emoji2][emoji2957][emoji2957][emoji2][emoji2][emoji2]
Alafu mbona kama amekaa na sarah muda mrefu katika mahusiano bila sarah kupata D kubwa au harmo ni tasa[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Safe to say few if any men will ever bother to fcuk the wife.
 
RASMI: HARMONIZE AFUNGA NDOA NA SARA

Harmonize usiku wa jana amefunga ndoa na mpenzi wake mwenye asili ya Italy "Sara" katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam. Pichani Mama Sara, Harmonize na Sara

Neno moja la pongezi kwake tafadhali

View attachment 1201407

View attachment 1201408

View attachment 1201416



Mungu kaumba kila mtu na wake kaeni chonjo enyi walimwengu (sikumbuki nani aliimba huu wimbo it's old school though)

Sara atulie
Harmonize asije akawa amefunga ndoa kwa kukomesha mtu fulani kule alikotoka maana ana kasi sana na matukio mengi kwa muda mfupi
Muumba awape Heri!
 
Wazungu uki cheat maswala ya divorce na separation of properties ni vitu vya kawaida sana


Hiyo kitu hainaga rangi au uzungu, inategemea na sheria za nchi ambayo divorce inafanyika.
 
Hii ndoa ni ya kidini ama ya kijadi ama ya bomani,sijaelewa kitu hapo
 
Back
Top Bottom