Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Acheni ujinga nyie watumwa,akili fupi ndio huwaza hayo utafia kwenye ualimu wa shule ya msingi usio na maslahi zaidi kula na madeni kwa mangi
Jamaa yangu Mbona umerukwa kiasi hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni ujinga nyie watumwa,akili fupi ndio huwaza hayo utafia kwenye ualimu wa shule ya msingi usio na maslahi zaidi kula na madeni kwa mangi
Hadi wanafyonza
Kwani harmonize ana wimbo ambao kaimba peke yake umevuma tofauti na alizoshirikiana na diamond?Rayvanny hamna kitu, huyo dogo boya Sana, mwaka Jana na mwaka huu ametoa wimbo mmoja tu mzuri ule wa reggae, zingine zote ni nguvu ya Mond kushirikishwa, nyimbo kama natafuta Kiki na mbeleko zilimleta close Sana kutembea sambamba na konde boy, mara ghafula dogo kaanza kuchanja mbuga kusikojulikana, mara pochi Nene, Mara Timua vumbi, mara Nyegezi, mara paranawe nyimbo za kifala kabisa, mwenzake huku anapiga nambie, happy birthday na goma la Karne Kwangwaruu .....
Rayvanny arud kwenye mziki uliomtoa sababu saut yake ni nzur Kwa kuimba hata live anaweza kuimba kuwazidi hata konde boy na Mond, Mond anatumia nguvu nyingi Sana kumpush dogo, Ila dogo nyimbo zake za karbuni nyingi miyeyusho...
Hata ningekua mimi ningesumbua mwacheni Konde BoyMmakonde ameshajua kuoga sasa anasumbua
Visionary people never lose their target.Kwani harmonize ana wimbo ambao kaimba peke yake umevuma tofauti na alizoshirikiana na diamond?
Muda ushaanza kuongeaHuyu mmakonde
Ngoja muda utaongea !
Jembe?Jembe ni jembe...a hype guy!
I don’t trust him in anything!