Harmonize akiwa na Boss wake mpya

Harmonize akiwa na Boss wake mpya

Waliopita mikonon mwake wamefanikiwa kimusic na hata darasan hatuwezi kuwa sawa wote japo wote tutafaulu na wote tukifanya biashara sio wote tutakua level sawa kutokana na uwezo binafsi ndio maana barnaba hakuwa anaweza kuimba ila alifundishwa akafika alipofika, wakina mwasiti wakina Lina walifika walipofika wakina Nandy bado anaendelea wakina Jay Dee wanaendelea kutokana na uwezo binafsi kila mtu anakarama yake ndio maana hata umchukue diamond na christian bella waimbe wengi tutamshangilia kwa diamond toka anaanza but akija christian bella wenye watu watatulia kwanza wamsikilize sauti yake maridadi inavyopanda na kushuka mwishi ndio tutamshangilia kiushabiki tutasema diamond amepiga show ya nguvu but kiuhalisia Christian bella amepiga show.

Na unasema Harmonize amefanikiwa kuliko Barnaba kimashabiki sawa amefanikiwa lakin kimaisha hawezi mkuta hata Shilole nakuhakikishia

Unahamisha magoli ,je una financial report za Harmonize na Shilole? Weka hapa tuamini kwamba Shilole yupo vizuri kuliko Harmonize.
 
Muombeeni atusue tunataka tuwe na wanamuziki wengi wenye mafanikio hii habari ya dimond na kiba inatosha

Spendi sana kuona Dogo anaondoka Wcb kwa sababu naona kama nyota yake itazima gafla....ila kwa kauli ya kusema tunataka ishu ya Alikiba na Mond iishe nakuunga Mkono sana Chief.
 
Atakuwa bonge la fala.

Bora aage kwa amani wakubaliane tu kwamba naye inabidi apae sasa kwani amelelewa vyakutosha ila kujifanya nyota wakati wasafi ndo wamemtambulisha ulimwenguni ni dharau ambayo sisi waswahili tunaufanya lakini inamadhara makubwa sana.

Inafahamika hawezi kubaki Wasafi maisha yote kwani inabidi wasanii wengine pia wapewe fursa ya kung’aa ndo tasnia iendelee na wengine nao wapate hela ila heshima ni muhimu.

Diamond alimbeba vizuri asije akaharibu

Kuna watu wanampa sana Kiburi huyu Dogo mpaka anasahau na kuleta kiburi kwa Jamaa yake Mondi.....Anasahau kila style anayoifanya mpka kuimba anamuiga Domo...kutoa hii ya kupaka Dawa kichwani.
 
Spendi sana kuona Dogo anaondoka Wcb kwa sababu naona kama nyota yake itazima gafla....ila kwa kauli ya kusema tunataka ishu ya Alikiba na Mond iishe nakuunga Mkono sana Chief.
Ajabu ya Wabongo; ngoja msanii mpya atangazwe WCB halafu aanze kufanyiwa promo! Hawa hawa wanaosema bora aondoke tu, ndio hao hao watakaokuja tena hapa na kusema WCB wanamfanyia promo msanii wao ili kummaliza Harmonize huku wakisahau kwamba hata huyo Harmonize kafika hapo kwa promo!!
 
Muda wa Harmonize kuondoka WCB ulikuwa Bado Haujafika! Mtoto kaoleea hajatimiza Miaka 18
 
Wenye Moyo wa Diamond Ni Wachache Sana Umuinue mtuu afu akuletee dharau Bado Unaendelea kuinua Watu
 
Wewe jamaa unajichanganya wewemwenyewe we umesema diamond alikuwa ana managiwa na ruge nimekusahihisha Sasa hiv unaniruka unasema kitu ambacho sijakuambia ebu jaribu kupitia Tena mazungumzo yetu siku nyingine usijifanye mjuaji wakati Kuna watu wanajua kuliko wewe.
Hakuna ulijualo,Kwani Harmonize Meneja wake ni Diamond?ukipata jibu la hili swali ndio utajua Ruge alikua nani kwa Mondi;Hata akina Nandi,Barnaba nk wana Mameneja wao ambao sio Ruge
 
pale wasafi kuna watu watatu au unaweza kuuita utatu mtakatifu, ambao ni sallam, babu tale na saidi fella.

ukiondoa ushirikina wao, fitna na propaganda zao ambazo kwa mda mrefu wamekuwa wakizitumia ku monopolize music industry ya tanzania, kazi nyingine kubwa pale wasafi ni kujineemesha kwa kupitia wasanii walio chini ya lebel ya wasafi.

unakuta kwa mfano malipo ya show moja ya rayvanny, hao wote watatu kila mtu ana parcent yake na hajaitolea jasho. nampongeza sana harmonize kwa kuachana na hao wapuuzi watatu. na ninamsifu kwa ku sign chini ya jembe jembe.

najua sallam na hao wapuuzi wenzie hawatakubali kushindwa kirahisi, lazima watajiribu kutaka kumvurigia deal lake la harmonize ila hawataweza maana jamaa pia ni born town, ana connection kubwa na pesa ya kula anayo.

hawa wapuuzi watatu kiboko yao alikuwa ni marehemu ruge mutahaba the master minder. rest in peace ruge.
Ruge mlisema mnyonyaji....
Tale, sallam, fella Leo mnawaita vijeti....
Bongo hata malaika aongoze mziki bado mtalalamika tu

Ova
 
Mavoko aliondoka ndani ya mkataba ndo maana alikuwa analia BASATA wamsaidie kwani mkataba mgumu. Kwa sasa Mavoko hawezi fanya kitu mkataba unambana.

Harmonize mkataba umeisha akaweka terms zake WCB wakakataa yeye akakaa nje. Inatakiwa iwe win win situation
Mkataba wa harmonize haujaisha ameamua kuterminate....salaam kashajibu hii kune interview yake
 
hatuombei mabaya ila anaemjaza ujinga huyu mmakonde atamfanya ajute siku moja.
 
Kuna wakati sisi masikini huwa atuaminiki hata kidogo. Kama aliweza kumwacha Wolper na kufuata pesa kwa mzungu. Fikiria namna Wolper alivyokuwa akidharauliwa kutoka na mwanaume mshamba wakati ule. Usishangae ayafanyayo Leo.
Mbona Mondi alimuacha Wema akaenda kwa dem mwengine?
 
Mleta Uzi acha kuchekesha . Hapo Boss ni Harmonize au huyo promoter!?
 
Back
Top Bottom