Harmonize alitua na Turkish Airways saa 11 alfajiri, akabaki Airport hadi saa saba kusubiri maandamano ya kumpokea

Harmonize alitua na Turkish Airways saa 11 alfajiri, akabaki Airport hadi saa saba kusubiri maandamano ya kumpokea

Sasa huu muda ulio tumia, SI unge fanya Jambo la maana.
👉Maana saa 7 usiku, Ina onesha Ume umia Kama vile ni mumeo ali kuacha ehh??
View attachment 2820309View attachment 2820310
Huyu ni Harmonize akiwa hana hela auu
Screenshot_20231121-012524_1.jpg
 
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.

Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.

Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.

Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.

Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.

Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.

Bora Mshana Jr kaachana na uchawi

Duuh bonge la upumbavu!
 
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.

Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.

Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.

Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.

Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.

Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.

Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Hajavunja sheria yoyote ya nchi
 
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.

Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.

Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.

Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.

Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.

Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.

Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Ni formula ya kidunia. Tumia wajinga kupata mafanikio. Inatumiwa na wanasiasa, wachungaji hadi mataifa yaliyoendelea yanatumia mataifa maskini kuendelea zaidi.
Wajinga ni mtaji wa mwenye akili.
 
Angekua ni mwanasiasa mkubwa kama tundu lissu au mtumishi uchwara kama mwakasege, nyie wazee msingejazana hapo?

Kila rika lina mapendeleo yake, kijana kushabikia wanamuziki haimaniishi hafanyi vitu vingine, wewe fuata mambo yako.
We acha mambo yako ya kipuuzi,Mwakasege unamtaja hapa anahusikaje?
Una mambo ya kipuuzi kumbe?
Ulishawahi kumuona huyo mtu uliyemtaja kwenye media au upuuzi wa kupokelewa?
Jiheshimu ww,acha upuuzi
Anaingiaje hapa,anahusika nn Kwa mfano?
Acha ujinga ww , yaani watu sijui mna shida gani
 
We acha mambo yako ya kipuuzi,Mwakasege unamtaja hapa anahusikaje?
Una mambo ya kipuuzi kumbe?
Ulishawahi kumuona huyo mtu uliyemtaja kwenye media au upuuzi wa kupokelewa?
Jiheshimu ww,acha upuuzi
Anaingiaje hapa,anahusika nn Kwa mfano?
Acha ujinga ww , yaani watu sijui mna shida gani
nisamehe bure rafiki yangu, haya mambo sina imani nayo kabisa

mwakasege ni mhubiri wa injili mamboleo, hana dhehebu rasmi, hivyo kwangu ni tapeli
 
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.

Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.

Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.

Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.

Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.

Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.

Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Maisha ya WASANII wetu YANAWAHARIBU VIJANA!😢😢😢😢
MAISHA YAO YAMEZIDI USANII MPAKA YANAKINAI...
 
Angekua ni mwanasiasa mkubwa kama tundu lissu au mtumishi uchwara kama mwakasege, nyie wazee msingejazana hapo?

Kila rika lina mapendeleo yake, kijana kushabikia wanamuziki haimaniishi hafanyi vitu vingine, wewe fuata mambo yako.
Eti mtumishi hewa Mwakasege......ila yule jamaa hata anavyofundisha havieleweki
 
Back
Top Bottom