Harmonize amsaini Country Boy Kondegang

Harmonize amsaini Country Boy Kondegang

afanye tu anachofanya ila awe makini sana maana mmhh kuna kazi kubwa kwenye kuwasaini watu sio mchezo mdgo huo
 
kaka yake yule aliyopo pale nani pale naskia anatumia sana na ndo mdau mkubwa wa ile ishu za unga wa ugali
Naam babuu wa kitaa nimeshamshuhudia mwenyewe zaidi ya mara tatu akinusa ule unga

Mdogo wao young lunya nae ni pombe na mabange yani familia nzima ni pombe wenyewe wanasema wanaozaaaa
 
Naam babuu wa kitaa nimeshamshuhudia mwenyewe zaidi ya mara tatu akinusa ule unga

Mdogo wao young lunya nae ni pombe na mabange yani familia nzima ni pombe wenyewe wanasema wanaozaaaa
Kwani lunya ni mdogo wao au mwana tu ambaye country aliwatoa kwa Mensen selekta na kuwapeleka kwa switcher lunya na wale wenzake?
 
Nahisi ni dogo wao kabisa
Hapana siyo mdogo wao lunya Mensen aliwakuta Dodoma, ndo wakaja dar wakawa wanafanya kazi studio kwake, ila kutokana na uchhanaji wao akaona wanaweza kuwa kundi na walipokuwa wakichana watu walikuwa wanakuwa suprized wanasema Oh My God ndiyo wakaja na idea ya kuwa wajiite OMG.
Country alikuwa kipindi flani anafanyia kazi kwa Mensen, akakutana nao akawashawishi akawatoa akawapeleka kwa Switcher.
Nadhani kama yalivyo maisha labda country na lunya waliclick wakawa washikaji mpaka kuonekana ni ndugu lakini hawana undugu wowote wale.
 
Haka kamakonde hii jeuri kanatoa wapi wameshindwa wakonge kibao kwenye industry lakini kenyewe ka juzi tu kana lebel ya watu 6 sasa. Au ndo kanamtunishia msuli baba yake mlezi
 
Haka kamakonde hii jeuri kanatoa wapi wameshindwa wakonge kibao kwenye industry lakini kenyewe ka juzi tu kana lebel ya watu 6 sasa. Au ndo kanamtunishia msuli baba yake mlezi
Makonda atakuwa na mkono wake hapo
 
Back
Top Bottom