Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
- Thread starter
-
- #141
kila siku ndo maneno yako ila vijana bado wanatambaIla hii drama itaididimiza zaidi wasafi maana jeuri ya harmo ipo hapo.
kila siku ndo maneno yako ila vijana bado wanatamba
Hivi vitoto kwa nini viwashughulishe akili?Njomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...
Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na aliye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Hakuna ambaye alikuwa hajui hiyo list tena kuna watu kawasahau lakini katika hili Harmonize ameonekana ni mjinga sana...
Njia pekee mwanaume anaweza kutumia kulumbana na mwanamke ni kukaa kimya...
vipi ajasema lolote kuhusu smell?!
Konde boyMbona yeye hajajiweka kwenye hiyo list,
Sass na yeye muwewe anajiita chidi mapenzi alitegemea nini?Namuunga mkono
Ivi mwanaume unajiskiaje pale mwanao anapokuuliza ivia baba kumbe bila wewe basi Dianond ndo angekua babaanguIla hii drama itaididimiza zaidi wasafi maana jeuri ya harmo ipo hapo.
Ivi mwanaume unajiskiaje pale mwanao anapokuuliza ivia baba kumbe bila wewe basi Dianond ndo angekua babaangu
Hakuna kitu kinaumiza kama kumuona Ex wa mkeo hua natamanigi kummaliza na risasi
hahaa ...lazima apatwe na strock mixer kichomi cha moyoHalafu kuna bwege mmoja ataenda Moshi kumlipia Mahari ya milioni 10 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sebuleni hataangalia tv kwa raha maana ni full nyimbo za ma-ex wa mkewe kasio Alikiba, Diamond au Harmonize mara jux akibalidiaha chanel nyimbo za Producer Makochali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahaaa perfume nyingi zina mchanganyiko wa spirit wataka Dada wawatu apanue mapaja nakujippea na feni week nzimaHii ishu bado inamuaaffect Sana wolper.
Mangi kiboko aiseee.
Mie nikipata bahati ya kuitafuna ile K. naenda kabisa na perfume yakutoa harufu
huyo bongolife style sio mzima..hahaa
haha Haas namjibu kuwa diamond kama angekuwa na mtoto toka kwa mama yko usingekuwa mtoto weweIvi mwanaume unajiskiaje pale mwanao anapokuuliza ivia baba kumbe bila wewe basi Dianond ndo angekua babaangu