Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Nimeishia hapa kusoma comments..... tehteehhh
 
Nina uhakika hawa harmonize na Wolper wanacheza tu na akili za mashabiki ili kutrend mitandaoni hawa kuna uwezekano huwa wanakaa na kuandaa kiki
 
Hivi vitoto kwa nini viwashughulishe akili?
 
Mi namtamani sana shamsa ford nikimuonaga na ile natural kala yake huwa naishiwa pumzi kabisa.ndo hivyo ameolewa nampenda sana asee
 
Duh sijui kwa wanaume watajisikiaje ila kama ni mama nakabutua tu kashike adabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mauno yote yale kukasaka halafu kanaleta swali la kindezi
Ivi mwanaume unajiskiaje pale mwanao anapokuuliza ivia baba kumbe bila wewe basi Dianond ndo angekua babaangu
 
hahaa ...lazima apatwe na strock mixer kichomi cha moyo
 
Hii ishu bado inamuaaffect Sana wolper.

Mangi kiboko aiseee.

Mie nikipata bahati ya kuitafuna ile K. naenda kabisa na perfume yakutoa harufu
hahaaa perfume nyingi zina mchanganyiko wa spirit wataka Dada wawatu apanue mapaja nakujippea na feni week nzima
 
Ivi mwanaume unajiskiaje pale mwanao anapokuuliza ivia baba kumbe bila wewe basi Dianond ndo angekua babaangu
haha Haas namjibu kuwa diamond kama angekuwa na mtoto toka kwa mama yko usingekuwa mtoto wewe
 
Kuna jamaa kaja asubuhi.
Ananiuliza eti nyumba ya diamond na Ali kiba IPI ni ya gharama.
Nikamjibu kama ningekuwa na bastola ningekupiga.
Yaani asubuhi yote badala ya kufanya vitu vya maana unawaza nyumba za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…