Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Nimeishia hapa kusoma comments..... tehteehhh
 
Nina uhakika hawa harmonize na Wolper wanacheza tu na akili za mashabiki ili kutrend mitandaoni hawa kuna uwezekano huwa wanakaa na kuandaa kiki
 
Njomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...

Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na aliye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Hakuna ambaye alikuwa hajui hiyo list tena kuna watu kawasahau lakini katika hili Harmonize ameonekana ni mjinga sana...
Njia pekee mwanaume anaweza kutumia kulumbana na mwanamke ni kukaa kimya...
Hivi vitoto kwa nini viwashughulishe akili?
 
Mi namtamani sana shamsa ford nikimuonaga na ile natural kala yake huwa naishiwa pumzi kabisa.ndo hivyo ameolewa nampenda sana asee
 
Labda!!!
IMG_20180508_105331_217.jpg
IMG_20180508_105252_095.jpg
 
Duh sijui kwa wanaume watajisikiaje ila kama ni mama nakabutua tu kashike adabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mauno yote yale kukasaka halafu kanaleta swali la kindezi
Ivi mwanaume unajiskiaje pale mwanao anapokuuliza ivia baba kumbe bila wewe basi Dianond ndo angekua babaangu
 
Halafu kuna bwege mmoja ataenda Moshi kumlipia Mahari ya milioni 10 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sebuleni hataangalia tv kwa raha maana ni full nyimbo za ma-ex wa mkewe kasio Alikiba, Diamond au Harmonize mara jux akibalidiaha chanel nyimbo za Producer Makochali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahaa ...lazima apatwe na strock mixer kichomi cha moyo
 
Hii ishu bado inamuaaffect Sana wolper.

Mangi kiboko aiseee.

Mie nikipata bahati ya kuitafuna ile K. naenda kabisa na perfume yakutoa harufu
hahaaa perfume nyingi zina mchanganyiko wa spirit wataka Dada wawatu apanue mapaja nakujippea na feni week nzima
 
Ivi mwanaume unajiskiaje pale mwanao anapokuuliza ivia baba kumbe bila wewe basi Dianond ndo angekua babaangu
haha Haas namjibu kuwa diamond kama angekuwa na mtoto toka kwa mama yko usingekuwa mtoto wewe
 
Kuna jamaa kaja asubuhi.
Ananiuliza eti nyumba ya diamond na Ali kiba IPI ni ya gharama.
Nikamjibu kama ningekuwa na bastola ningekupiga.
Yaani asubuhi yote badala ya kufanya vitu vya maana unawaza nyumba za watu.
 
Back
Top Bottom