Harmonize apata mdogo wake au mpenzi? Abby Chams anasemaje?

Harmonize apata mdogo wake au mpenzi? Abby Chams anasemaje?

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams. Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi?

Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby mara kwa mara, mashabiki wameanza kuhisi kama "kapata chombo cha kwenda". Wapo wanaosema ni upendo mpya, wengine wanasema ni ushirikiano wa kazi.

Unadhani kuna mapenzi hapa au ni kiki tu za muziki? Tupe mawazo
yako!
 
Majibu ya mwanzo yakiwa ya madongo basi jipange kwa mfululizo wa madongo mpaka liamba, be prepared dude.
NB: Members no longer care whether it's a celebrity page which involves gossips and rumors, hapa utapigwa mawe mfululizo.
 
Majibu ya mwanzo yakiwa ya madongo basi jipange kwa mfululizo wa madongo mpaka liamba, be prepared dude.
NB: Members no longer care whether it's a celebrity page which involves gossips and rumors, hapa utapigwa mawe mfululizo.
Watu wengine ni hovyo kaka 😂 Sasa imagine mtu anatoa comment tuombe ushauri wa kazi kwenye entertainment
 
Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams. Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi?

Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby mara kwa mara, mashabiki wameanza kuhisi kama "kapata chombo cha kwenda". Wapo wanaosema ni upendo mpya, wengine wanasema ni ushirikiano wa kazi.

Unadhani kuna mapenzi hapa au ni kiki tu za muziki? Tupe mawazo
yako!
Ni kiki akuna mapenzi pale! Jamaa alipewa colabo basi- Famili yao kwanza awana mehemko na pia awana njaa, na huyu Binti muda wote anapotoka Kwao ana Bodguard, mama ake na dada-
 

Attachments

  • IMG_2014.jpeg
    IMG_2014.jpeg
    187.2 KB · Views: 2
Ni kiki akuna mapenzi pale! Jamaa alipewa colabo basi- Famili yao kwanza awana mehemko na pia awana njaa, na huyu Binti muda wote anapotoka Kwao ana Bodguard, mama ake na dada-
Aise ni wa kishua kweli huyu Binti ila kuhangaika na konde ni kujizalilisha
 
Back
Top Bottom