Harmonize apata mdogo wake au mpenzi? Abby Chams anasemaje?

Harmonize apata mdogo wake au mpenzi? Abby Chams anasemaje?

Ni kiki akuna mapenzi pale! Jamaa alipewa colabo basi- Famili yao kwanza awana mehemko na pia awana njaa, na huyu Binti muda wote anapotoka Kwao ana Bodguard, mama ake na dada-
Hiyo familia inajidanganya. Kwa kumruhusu tu kufanya muziki tayari ni sawa na kumkatia tiketi ya kutafunwa na haya maharamia yaliyopo kwenye music industry. Kama una binti/dada/mpenzi/mke ambaye yupo kwenye muziki au siasa basi jua kuna mhuni/wahuni wanatafuna bila masharti yoyote. Boss wa muziki ni shetani.
 
Hiyo familia inajidanganya. Kwa kumruhusu tu kufanya muziki tayari ni sawa na kumkatia tiketi ya kutafunwa na haya maharamia yaliyopo kwenye music industry. Kama una binti/dada/mpenzi/mke ambaye yupo kwenye muziki au siasa basi jua kuna mhuni/wahuni wanatafuna bila masharti yoyote. Boss wa muziki ni shetani.
Dah aise alafu familia ya dini hiyo mwanzo Abby alikuwa anaimba gospel akaingia kwenye ulimwengu wa Bongo flavor
 
Huyo binti ndiyo aliwahi kusema hajui kupika wala kufua sio?

Mume wake atapata tabu sana, otherwise naye awe mwenye ukwasi
 
Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams. Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi?

Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby mara kwa mara, mashabiki wameanza kuhisi kama "kapata chombo cha kwenda". Wapo wanaosema ni upendo mpya, wengine wanasema ni ushirikiano wa kazi.

Unadhani kuna mapenzi hapa au ni kiki tu za muziki? Tupe mawazo
yako!
Umekula lakini??? Au hata uhakika wa kula huna unakimbilia mambo ya watu...
Haya changia Tone Tone Ukomboleke!!
 
Ni kiki akuna mapenzi pale! Jamaa alipewa colabo basi- Famili yao kwanza awana mehemko na pia awana njaa, na huyu Binti muda wote anapotoka Kwao ana Bodguard, mama ake na dada-
Kwahio Mama ake ndio anaikagua na Nyapu ya dogo?

Sikia Mtu akifikisha miaka 18 huwez kua na Kauli nae Juu ya kupigiwa Fimbo au kupiga Fimbo akitaka kupigiwa atapigwa tu no matter mazingira na akitaka kuichapa bakora atatembeza tu so usiwe unaleta hizo hoja za kusema huyu mtoto wa kishua mara Nini watu tuna shuhudia wahuni wanakila pisi za kiarabu na wazazi wao washasema hawataki kuona dogo analiwa na mweusi au mkiristo.
 
Hiyo familia inajidanganya. Kwa kumruhusu tu kufanya muziki tayari ni sawa na kumkatia tiketi ya kutafunwa na haya maharamia yaliyopo kwenye music industry. Kama una binti/dada/mpenzi/mke ambaye yupo kwenye muziki au siasa basi jua kuna mhuni/wahuni wanatafuna bila masharti yoyote. Boss wa muziki ni shetani.
Shule ya music wazazi ndiyo wamempeleka na kumlipia, they know what they're doing. Hatuwezi kujifanya tunamjua kiundani zaidi ya wazazi wake wanavyomjua, her mom still claims that she is still virgin.
 
Shule ya music wazazi ndiyo wamempeleka na kumlipia, they know what they're doing. Hatuwezi kujifanya tunamjua kiundani zaidi ya wazazi wake wanavyomjua, her mom still claims that she is still virgin.
Ila aise hawa watu ni Matajiri mtoto tangu four years kasoma in western countries kuhusu haya mambo ya mziki wanasema she was influenced by his grandpa
 
Dah aise alafu familia ya dini hiyo mwanzo Abby alikuwa anaimba gospel akaingia kwenye ulimwengu wa Bongo flavor
Shetani kwa sasa kafanya uwekezaji mkubwa hata kwenye muziki wa Gospel. Nadhani shetani kabakiza kuingia kwenye kaswida tu. Huku kwingine kote kwa sasa anakula faida ya uwekezaji wake.
 
Shetani kwa sasa kafanya uwekezaji mkubwa hata kwenye muziki wa Gospel. Nadhani shetani kabakiza kuingia kwenye kaswida tu. Huku kwingine kote kwa sasa anakula faida ya uwekezaji wake.
Wasanii wengi huanzia kwenye gospel hata kina nandy walikuwa waimba kwaya
 
Kwahio Mama ake ndio anaikagua na Nyapu ya dogo?

Sikia Mtu akifikisha miaka 18 huwez kua na Kauli nae Juu ya kupigiwa Fimbo au kupiga Fimbo akitaka kupigiwa atapigwa tu no matter mazingira na akitaka kuichapa bakora atatembeza tu so usiwe unaleta hizo hoja za kusema huyu mtoto wa kishua mara Nini watu tuna shuhudia wahuni wanakila pisi za kiarabu na wazazi wao washasema hawataki kuona dogo analiwa na mweusi au mkiristo.
Malezi tunatofautiana! Kama wewe na famili yako mpo hivyo ni sawa! Unaijua familia yao vizuri? Babu yake mzaa baba alikuwa nani?Baba ake ni nani kwa sasa? Abby yupo chini ya Lebo gani?? So far yeye kama yeye ana kiasi gani Bank tokana na mziki wake? Wewe unafikiri kwa kuwa umeshindwa lea wa kwako basi dunia nzima ipo kama wewe kapuku. Wakati wengine wanafikiri kuwa kuolewa ndo ukombozi kwa mtoto wa kike wengine wanafikiria tofauti
 
Back
Top Bottom