Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Sawa na wewe jipange umtafune! Tusikariri ! Sio kila mwanamke aneenda bar anatafuta bwana.Wengine wanaenda just to relaxHiyo familia inajidanganya. Kwa kumruhusu tu kufanya muziki tayari ni sawa na kumkatia tiketi ya kutafunwa na haya maharamia yaliyopo kwenye music industry. Kama una binti/dada/mpenzi/mke ambaye yupo kwenye muziki au siasa basi jua kuna mhuni/wahuni wanatafuna bila masharti yoyote. Boss wa muziki ni shetani.