Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
😂Mke mpya wa harmonizehuyo abby cham ndo nani
Watu wengine ni hovyo kaka 😂 Sasa imagine mtu anatoa comment tuombe ushauri wa kazi kwenye entertainmentMajibu ya mwanzo yakiwa ya madongo basi jipange kwa mfululizo wa madongo mpaka liamba, be prepared dude.
NB: Members no longer care whether it's a celebrity page which involves gossips and rumors, hapa utapigwa mawe mfululizo.
Ni kiki akuna mapenzi pale! Jamaa alipewa colabo basi- Famili yao kwanza awana mehemko na pia awana njaa, na huyu Binti muda wote anapotoka Kwao ana Bodguard, mama ake na dada-Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams. Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi?
Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby mara kwa mara, mashabiki wameanza kuhisi kama "kapata chombo cha kwenda". Wapo wanaosema ni upendo mpya, wengine wanasema ni ushirikiano wa kazi.
Unadhani kuna mapenzi hapa au ni kiki tu za muziki? Tupe mawazo
yako!
Aise ni wa kishua kweli huyu Binti ila kuhangaika na konde ni kujizalilishaNi kiki akuna mapenzi pale! Jamaa alipewa colabo basi- Famili yao kwanza awana mehemko na pia awana njaa, na huyu Binti muda wote anapotoka Kwao ana Bodguard, mama ake na dada-
..wenzio wanaangalia MAOKOTO, kila mwenye salio jema bank, ni type yakeAise ni wa kishua kweli huyu Binti ila kuhangaika na konde ni kujizalilisha
😂Ndio mkuuUmefunga...?
Dah Mimi nadhani hii issue ni kiki tu ya ku trend..wenzio wanaangalia MAOKOTO, kila mwenye salio jema bank, ni type yake
Ni mlanguzi wa nyanya chungu toka Mishepohuyo abby cham ndo nani
Halafu funguo kazipotezaUmefunga...?
Ma $p¥ wa JeiefuNi kiki akuna mapenzi pale! Jamaa alipewa colabo basi- Famili yao kwanza awana mehemko na pia awana njaa, na huyu Binti muda wote anapotoka Kwao ana Bodguard, mama ake na dada-
Mimi ni Atheist mkuuHalafu funguo kazipoteza
Haupo seriously wewe😂Ndio mkuu
Ahaaa. Hongera mkuuMimi ni Atheist mkuu
Kwanini mkuu 😂?Haupo seriously wewe