Sawa na wewe jipange umtafune! Tusikariri ! Sio kila mwanamke aneenda bar anatafuta bwana.Wengine wanaenda just to relaxHiyo familia inajidanganya. Kwa kumruhusu tu kufanya muziki tayari ni sawa na kumkatia tiketi ya kutafunwa na haya maharamia yaliyopo kwenye music industry. Kama una binti/dada/mpenzi/mke ambaye yupo kwenye muziki au siasa basi jua kuna mhuni/wahuni wanatafuna bila masharti yoyote. Boss wa muziki ni shetani.
Wanawake mnajuana wenyewe.Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams. Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi?
Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby mara kwa mara, mashabiki wameanza kuhisi kama "kapata chombo cha kwenda". Wapo wanaosema ni upendo mpya, wengine wanasema ni ushirikiano wa kazi.
Unadhani kuna mapenzi hapa au ni kiki tu za muziki? Tupe mawazo
yako!
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza! Ujui why nimeandika hivyo.Ma $p¥ wa Jeiefu
Hata mimi hujui kwann nimeandika hivyo vilevileUsilolijua ni sawa na usiku wa giza! Ujui why nimeandika hivyo.
What kind of a stupid question is that? Who're you? Swali la kipuuzi kabisa, eti "unanibishia mimi?" Pathetic.Unanibishia mimi?
Acha kujidanganyaSawa na wewe jipange umtafune! Tusikariri ! Sio kila mwanamke aneenda bar anatafuta bwana.Wengine wanaenda just to relax
Acha kunililia hapa. Mimi sio babako.What kind of a stupid question is that, who're you? Swali la kipuuzi kabisa, eti "unanibishia mimi?" Pathetic.
Jidanganye wewe😂 Anaejua Ukweli ana cha kuogopaAcha kujidanganya
Una wivu husda na Chuki unataka Dunia yote iwe kama unavyotaka wewe! Una mawazo mgando- kwa kuwa wewe una kitu basi unatak wote wawe kama weweHata mimi hujui kwann nimeandika hivyo vilevile
Punguza gubu, litakuua. Nikuonee wivu una nini? Sikufahamu na sioni nilipokuwekea husda. Itakuwa una shida kichwaniUna wivu husda na Chuki unataka Dunia yote iwe kama unavyotaka wewe! Una mawazo mgando- kwa kuwa wewe una kitu basi unatak wote wawe kama wewe
Mwanamke uwe baba yangu, what a strange world......!Acha kunililia hapa. Mimi sio babako.