Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinyama
Wamemsifia magu, wamsifiege na mama suluhu,Hela zimeanza kumuishia na hana namna ya kujiset kulingana na namna alivyojikweza hapo nyuma, kwahiyo kaamua kuja na stratagy ya kujifanya anamsifia Bakharesa.
Nani asiyejua kuwa bhaharesa ni tajiri? Kwahiyo kama bakhresa ni tajiri yeye kama harmonize anajivunia nini hasa juu ya utajiri wa Bakharesa ambao kaja mjini kaukuta? Kinachonishangaza ni kwamba kaamua kujitolea tu, bora hata angekuwa ni balozi wa Azam ingeleta maana.
Subirini muone itakavyokuwa kam Bakharesa ataamua kumpotezea, siku sio nyingi alijitolea kuwa chawa wa JPM kiasa cha kujiita MBUNGE[emoji23][emoji23].
Mr mipashoView attachment 2148834
Msanii wa Bongo Flava, Harmonize ameandika kupitia mtandao wake wa instagram sifa za Bakhresa na kusema Bakhresa ni mchapa kazi na hachagui biashara yoyote na kumsifia zaidi kwa kusema hana hulka ya kutembea na wafanyakazi. Msanii huyo aliandika ujumbe mrefu wa kuelezea maana ya wimbo wake.
Vile vile Harmonize alitinga katika mojawapo ya hoteli zinazomilikiwa na Bakhresa na kusifia utajiri wa Bakhresa na kurusha vijembe kwa watu wanaojifanya ni matajiri huku hawana kitu, alisikika akisema wale wanaojifanya matajiri wangepata boti moja kama ya bakhresa.... [emoji1787]
View attachment 2148835
Bora hata angekuwa chawa wa demu anaweza akakupa mbususu[emoji23]Imenisikitisha mwanaume kuwa chawa wa mwanaume mwingine Bora hata angekuwa chawa wa demu anaweza akakupa mbususu
Subirini muone itakavyokuwa kam Bakharesa ataamua kumpotezea, siku sio nyingi alijitolea kuwa chawa wa JPM kiasa cha kujiita MBUNGE[emoji23][emoji23].Hela zimeanza kumuishia na hana namna ya kujiset kulingana na namna alivyojikweza hapo nyuma, kwahiyo kaamua kuja na stratagy ya kujifanya anamsifia Bakharesa.
Nani asiyejua kuwa bhaharesa ni tajiri? Kwahiyo kama bakhresa ni tajiri yeye kama harmonize anajivunia nini hasa juu ya utajiri wa Bakharesa ambao kaja mjini kaukuta? Kinachonishangaza ni kwamba kaamua kujitolea tu, bora hata angekuwa ni balozi wa Azam ingeleta maana.
Subirini muone itakavyokuwa kam Bakharesa ataamua kumpotezea, siku sio nyingi alijitolea kuwa chawa wa JPM kiasa cha kujiita MBUNGE[emoji23][emoji23].
Wabongo Ni CHUKI KALIIII, UNAFIKIII na UNYUMBU.Sasa Kuna mafala humu wanamuita chawa ingali nao ni chawa wa upande wa pili 😃😃 nyani haoni kundule.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi bakhresa anamjua huyu mmakonde au ndio uchawa apewe ubalozi mziki ushamshinda bila mondi mambo hayaendi
💯💯Bora hata angekuwa chawa wa demu anaweza akakupa mbususu[emoji23]
Msanii wake kashindwa hata kumtibu matende,halafu unajiita bakhresaHarmonize hajui hata kuandika mpuuzi huyo
Eti huruka
Wek up callHarmonize hajui hata kuandika mpuuzi huyo
Eti huruka
🤣🤣Wek up call
Hahaha msanii wake alikuwa na matende?😢Msanii wake kashindwa hata kumtibu matende,halafu unajiita bakhresa
Usicheke boss wewe ndio umeanzisha..