Harmonize arusha jiwe gizani, asema "Bakhresa hana hulka ya kutembea na wafanyakazi"

Harmonize arusha jiwe gizani, asema "Bakhresa hana hulka ya kutembea na wafanyakazi"

Huyu nae na vijembe kama demu wa kizaramo!nani hajuhi kama Bakheresa ni tajiri?

lakini hamfikii Dangote!Wala Bill gate,kutowafikia hao haimaniishi yeye sio tajiri!na wengine kutokumfikia,Haina maana wao sio matajiri.

Wenzie wanaendesha ma Lexus, Royce loyce ,yeye ananenepeana tu!!
Malizia na v8 anayotembelea kakodi
 
Back
Top Bottom