Harmonize arusha jiwe gizani, asema "Bakhresa hana hulka ya kutembea na wafanyakazi"

Harmonize arusha jiwe gizani, asema "Bakhresa hana hulka ya kutembea na wafanyakazi"

Dah, na amekaza shingo sana kuna kitu anatafuta bwana elephant mwenzake kajiita dangote akaishia hapo hapo lakini yeye huyu bwana kakaza mbaya na mzee wa maboti mpaka huruma hii
 
Harmonize sijui hajiamini au hajajua anataka nini. Sioni focus yake au goal yake binafsi na label yake.. utoaji wa nyimbo haueleweki, hawapishani kutoa kwa mpangilio, nyimbo hii siku tatu imepoa imetolewa nyingine hivi hana management?

Nyimbo akitoa moja kwa moja mipasho kwa wenzie, kulalamika, Harmonize bonge sana la msanii, angefocus mbele, na label yake, akachagua upande mpya wa kufocus naimani angekua zaidi ya hapa alipofika maana kweli ni Jeshi, la sivyo angekuwa Rich Mavoko mpya, tatizo anakomaa sana kuprove a point ambayo sioni ikimtoa point A kwenda B

Hata hao wasanii wote alionao ni wengi sana kwa label yake ku - manage, hela anayo angebaki na wasanii hata wawili na akajiwekeza kwanza kwake, baada ya miaka 3 label ingekuwa kubwa sana, bonge la artist jamaa anaimba sana..

baada ya miaka mitatu mpaka minne taste ya Harmonize itakuwa imechokwa sana kama asiposhtuka na hizi albums za kila mwaka, manyimbo kibao kila week, content ile ile, hakuna delivery kikubwa beat nzuri tutaimba
 
Harmonize sijui hajiamini au hajajua anataka nini. Sioni focus yake au goal yake binafsi na label yake.. utoaji wa nyimbo haueleweki, hawapishani kutoa kwa mpangilio, nyimbo hii siku tatu imepoa imetolewa nyingine hivi hana management?

Nyimbo akitoa moja kwa moja mipasho kwa wenzie, kulalamika, Harmonize bonge sana la msanii, angefocus mbele, na label yake, akachagua upande mpya wa kufocus naimani angekua zaidi ya hapa alipofika maana kweli ni Jeshi, la sivyo angekuwa Rich Mavoko mpya, tatizo anakomaa sana kuprove a point ambayo sioni ikimtoa point A kwenda B

Hata hao wasanii wote alionao ni wengi sana kwa label yake ku - manage, hela anayo angebaki na wasanii hata wawili na akajiwekeza kwanza kwake, baada ya miaka 3 label ingekuwa kubwa sana, bonge la artist jamaa anaimba sana..

baada ya miaka mitatu mpaka minne taste ya Harmonize itakuwa imechokwa sana kama asiposhtuka na hizi albums za kila mwaka, manyimbo kibao kila week, content ile ile, hakuna delivery kikubwa beat nzuri tutaimba
Uzuri anashindwa kuwa fanya watu wamiss,kama ikiwezekqna asitishe kutoa nyimbo hata kwa miezi sita akomae na Ibraah pamoja na killy, mbona watoto wana kaa kwenye ramani anaanza kujipigia pesa.
 
Uzuri anashindwa kuwa fanya watu wamiss,kama ikiwezekqna asitishe kutoa nyimbo hata kwa miezi sita akomae na Ibraah pamoja na killy, mbona watoto wana kaa kwenye ramani anaanza kujipigia pesa.
Kwaio blaza huwa una mmiss msanii?[emoji28][emoji28]
 
Kwaio blaza huwa una mmiss msanii?[emoji28][emoji28]
Kwani ww umeelewa nini? Mimi nimeaanisha kummiss msanii masikioni/kumsikia ili baadae ataengeneze shauku ya kumsikia au wewe unammiss msanii kwa style nyingine kama za wale "usiniumizie..........".
 
View attachment 2148834
Msanii wa Bongo Flava, Harmonize ameandika kupitia mtandao wake wa instagram sifa za Bakhresa na kusema Bakhresa ni mchapa kazi na hachagui biashara yoyote na kumsifia zaidi kwa kusema hana hulka ya kutembea na wafanyakazi. Msanii huyo aliandika ujumbe mrefu wa kuelezea maana ya wimbo wake.

Vile vile Harmonize alitinga katika mojawapo ya hoteli zinazomilikiwa na Bakhresa na kusifia utajiri wa Bakhresa na kurusha vijembe kwa watu wanaojifanya ni matajiri huku hawana kitu, alisikika akisema wale wanaojifanya matajiri wangepata boti moja kama ya bakhresa.... 🤣

View attachment 2148835


Huyu nae na vijembe kama demu wa kizaramo!nani hajuhi kama Bakheresa ni tajiri?

lakini hamfikii Dangote!Wala Bill gate,kutowafikia hao haimaniishi yeye sio tajiri!na wengine kutokumfikia,Haina maana wao sio matajiri.

Wenzie wanaendesha ma Lexus, Royce loyce ,yeye ananenepeana tu!!
 
Uzuri anashindwa kuwa fanya watu wamiss,kama ikiwezekqna asitishe kutoa nyimbo hata kwa miezi sita akomae na Ibraah pamoja na killy, mbona watoto wana kaa kwenye ramani anaanza kujipigia pesa.
Sasa yeye kila week nyimbo, kila week tukio.. maybe inamlipa, kuna kingine zaidi ya hela mkuu?
 
Sasa yeye kila week nyimbo, kila week tukio.. maybe inamlipa, kuna kingine zaidi ya hela mkuu?
Watu watakuchoka, hamna msanii ambaye kila mwezi anatoa nyimbo. Wengi wanakaa kimya kutengeneza shauku na mara nyingi wakirudi wanafumua na wanapiga hela nzuri.

Hii kitoa nyimbo kila watu masikio yatazoea mwisho hawakuchukulii serious na hata streaming lazima zipungue. Apumzike ampromoti Ibraah na Killy wale watoto kuna vitu wanavyo awape mda.
 
Watu watakuchoka, hamna msanii ambaye kila mwezi anatoa nyimbo. Wengi wanakaa kimya kutengeneza shauku na mara nyingi wakirudi wanafumua na wanapiga hela nzuri.

Hii kitoa nyimbo kila watu masikio yatazoea mwisho hawakuchukulii serious na hata streaming lazima zipungue. Apumzike ampromoti Ibraah na Killy wale watoto kuna vitu wanavyo awape mda.
Amesema atatoa wimbo kila wiki kwa mwaka 2022, mshindwe wenyewe 😁
 
Atoe tu nyimbo kila siku. Huu mziki wa bongo ukitulia miezi 6 bila wimbo WCB wanakutoa kwenye reli.

Fan base ya WCB ni kubwa, msanii inabidi uwe nanyimbo nyingi ambazo utaweza hata kuanzisha tamasha lako mwenyewe na watu wakajaa. Mziki wakitambo ndio ulikua unatoa wimbo mmoja ili kusubiri uitwe FIESTA na clouds uzunguke mikoani.

Konde mnaweza kumuona boya ila alipofikia hata akisema atafute kampuni imdhamini azunguke mikoa yote kutoa burudani anaweza.
 
Atoe tu nyimbo kila siku. Huu mziki wa bongo ukitulia miezi 6 bila wimbo WCB wanakutoa kwenye reli. Fan base ya WCB ni kubwa, msanii inabidi uwe nanyimbo nyingi ambazo utaweza hata kuanzisha tamasha lako mwenyewe na watu wakajaa. Mziki wakitambo ndio ulikua unatoa wimbo mmoja ili kusubiri uitwe FIESTA na clouds uzunguke mikoani. Konde mnaweza kumuona boya ila alipofikia hata akisema atafute kampuni imdhamini azunguke mikoa yote kutoa burudani anaweza.
Ndio maana Ali Kiba anasema there is only one King, anaweza akapotea mwaka mzima...ila akitoa wimbo watu wanatafutana kutoa zao kabatini 🐒
 
Kwani ww umeelewa nini? Mimi nimeaanisha kummiss msanii masikioni/kumsikia ili baadae ataengeneze shauku ya kumsikia au wewe unammiss msanii kwa style nyingine kama za wale "usiniumizie..........".
[emoji28][emoji28][emoji28] kazi iendelee
 
Back
Top Bottom