Nahisi huruka kwenda Ntwara[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huruka kwenda wapi
🤣🤣🤣🤣🤣Nahisi huruka kwenda Ntwara
Sweetherat ana master ya mzumbe mba corporate management ,nilimuacha mwaka chuo bishoo wa kikingaBabe kumbe vunjabei ni msomi e?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuhangaike kwa kipi sasa? WoiiiiiiiiiiihMnahangaika[emoji23]
Malizia na v8 anayotembelea kakodiHuyu nae na vijembe kama demu wa kizaramo!nani hajuhi kama Bakheresa ni tajiri?
lakini hamfikii Dangote!Wala Bill gate,kutowafikia hao haimaniishi yeye sio tajiri!na wengine kutokumfikia,Haina maana wao sio matajiri.
Wenzie wanaendesha ma Lexus, Royce loyce ,yeye ananenepeana tu!!
Atafute Editor awe anakagua kila anachokiandika kabla ya kupost.Uandishi hadi matendo yake tabu tupu