Harmonize ataimba nyimbo zote ila hizi ni hatari

Harmonize ataimba nyimbo zote ila hizi ni hatari

Wapi nimeongelea pesa? Unaona ulivyo zwazwa. Nimesema tupo busy na mambo ya kitaifa. Vijana kama nyie mnamchango mdogo sana kwenye taifa.
Achana nae mkuu..hili kontena jipya..mkuu mu ignore tu mkuu
 
Umenikumbusha mbali sana 😁😁😁. Miaka ya 2003 hadi 4 nilishuhudia Mr Nice feki akipiga hela vijijini kwa show za kitapeli.
Umenikumbusha mbali sana 😁😁😁. Miaka ya 2003 hadi 4 nilishuhudia Mr Nice feki akipiga hela vijijini kwa show za kitapeli.
Ni mambo ya kawaida ,kuanzia mwezi wa Saba ni mavuno hivyo wanakijiji wanataka kurelax na kufurahia mavuno yao .
Nilifuatwa siku chache kabla ya nane nane na wazee wa busara wa Kijiji wakiongozwa na diwani ,eti wanahitaji nimlete Bony mwaitege aje kutumbuiza mbele yao kwa kiingilio Cha elfu kumi .
Basi mdaresalaam Mimi nikaanza kuitafuta namba ya bony mwaitege nikaipata Ila nikapiga hesabu nikaona gharama anazotaka na wanakijiji muitikio wa kuingia ukumbini nikahisi nitapigwa .
Nikaamua kuwafuata wazee na kuwaambia bahati mbaya bony mwaitege amesema anaenda nje ya nchi Ila anaweza kumtuma mwakilishi wake aje kutumbuiza alafu yeye mwezi wa kumi atakuja kutumbuiza bure 😃😃 ,wazee wakajaa ,hivyo nikawa na kibarua Cha kumtafuta kijana mwenye kipaji hata Cha kuiga nyimbo za bony aje afanye show .

Ila mpaka inafika tarehe nane sikufanikiwa kumpata kijana kila niliyempanga aliruka mita Mia ,basi hela nikaikosa japo bado Imani ya wanakijiji juu ya Mimi kuwa najua vitu vingi haujaisha hivyo najua ipo siku watalipa hela za Mimi kuzaliwa Dar es salaam
 
mshauri harmonize alipe kwanza deni la watu kabla ya ngonjera zako
 
Ni mambo ya kawaida ,kuanzia mwezi wa Saba ni mavuno hivyo wanakijiji wanataka kurelax na kufurahia mavuno yao .
Nilifuatwa siku chache kabla ya nane nane na wazee wa busara wa Kijiji wakiongozwa na diwani ,eti wanahitaji nimlete Bony mwaitege aje kutumbuiza mbele yao kwa kiingilio Cha elfu kumi .
Basi mdaresalaam Mimi nikaanza kuitafuta namba ya bony mwaitege nikaipata Ila nikapiga hesabu nikaona gharama anazotaka na wanakijiji muitikio wa kuingia ukumbini nikahisi nitapigwa .
Nikaamua kuwafuata wazee na kuwaambia bahati mbaya bony mwaitege amesema anaenda nje ya nchi Ila anaweza kumtuma mwakilishi wake aje kutumbuiza alafu yeye mwezi wa kumi atakuja kutumbuiza bure 😃😃 ,wazee wakajaa ,hivyo nikawa na kibarua Cha kumtafuta kijana mwenye kipaji hata Cha kuiga nyimbo za bony aje afanye show .

Ila mpaka inafika tarehe nane sikufanikiwa kumpata kijana kila niliyempanga aliruka mita Mia ,basi hela nikaikosa japo bado Imani ya wanakijiji juu ya Mimi kuwa najua vitu vingi haujaisha hivyo najua ipo siku watalipa hela za Mimi kuzaliwa Dar es salaam
We jamaa fala sana😂😂😂
 
Aisee Harmo sijui kama ataweza tena kama alivyoweza kwenye Anajikosha, Mtaje na hii ya Ujana. Vyuma vimetulia.
 
Back
Top Bottom