Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Mkuu sina Wivu na Harmonize kwa sababu..Kufanikiwa kwakwe au kutokufanikiwa kwake Hakuna Impact yoyote kwangu...Pili yeye ni msanii na mm nina kazi nyingine tofauti kabisaa na Usanii nimuone wivu wanini? Yeye ana Mpenzi wake mzungu mimi wangu muafrika wivu wa nini? Anaishi Dar mimi naishi mkoani huko nitamuoneaje wivu
Wee jamaa unamuonea wivuu kisaa ana mke mzungu ......itakuwa ndugu yake wolper ww....!!
 
Huna hoja,umejenga hoja yako bila mifano ya hiyo interview,mfano kwenye interview flani aliongea haua na yale,acha hizo mambo hamo yuko,vizuri na management yake,chibu,salaam,wote wako vizuri na nize
 
Hata wewe uliondoka kwa wazazi wako vivyohivyo nae ataondoka WCB mana si makazi ya kudumu
 
Mkuu sina Wivu na Harmonize kwa sababu..Kufanikiwa kwakwe au kutokufanikiwa kwake Hakuna Impact yoyote kwangu...Pili yeye ni msanii na mm nina kazi nyingine tofauti kabisaa na Usanii nimuone wivu wanini? Yeye ana Mpenzi wake mzungu mimi wangu muafrika wivu wa nini? Anaishi Dar mimi naishi mkoani huko nitamuoneaje wivu
Hiyo mistress uliyojivika na kumwaga povu hapa bado unadai maisha yake hayana impact kwake?si unaona umeshaanza comparison na contrast ya wake zenu yeye mzungu wako mbantu,stress huzo baba za maisha ya watu umezivagaa!
 
Juzikati Pale alipohojiwa na Soud Brown akawa ana mchecheto kinoma adi akaongea maneno nikaona yakienda kwa team members mwenzake kama Rayvann ambaye nae alipata mtoto hivi karibuni lazma amaind" au hata chibu
Harmo alisema "kunatofauti yakuzaa mtoto, na kuzaa mtoto wakizungu" kisa yeye kamtia mimba mzungu
 
Back
Top Bottom