Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Dalili ya Mvua ni Mawingu.....Wazungu wasema Time Will Tell....Ngoja nitunze akiba ya Maneno yangu lakini akili yangu inanituma na kunambia kuwa HARMONIZE atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB na watagombana na Kundi la WCB
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]UTABIRI ULIOTIMIA KWA HARAKA MNO danya,
 
Dalili ya Mvua ni Mawingu.....Wazungu wasema Time Will Tell....Ngoja nitunze akiba ya Maneno yangu lakini akili yangu inanituma na kunambia kuwa HARMONIZE atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB na watagombana na Kundi la WCB
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]UTABIRI ULIOTIMIA KWA HARAKA MNO
Hakika mkuu
 
Nilichogundua wengi hatufikirii sana msanii wa kwanza alikuwa rich mavoko sio harmonize
Mavoko alipigwa chini na ndio maana alimbuluza Mondi BASATA ila Harmo kaipiga chini WCB na ndio maana Mondi kamkomalia alimpe 500m ali aweze kumrelease.
 
Na hizo kauli zenu mzungu,mzungu huyo mmorocko kwa baba na mama ni wakimbizi waliohamia Italy miaka mingi.
Huwa nacheka sana mnapoteza muda kusema ni tajiri,Mwenyewe Muitaliano ni njaa tupu itakua hao wakimbizi tena waliokuja lowea Zanzibar.
Italy hamna kitu,nshafika mara 3 kula bata ni kimyaa,na ukienda na euro za kutosha kule nakwambia ngozi inageuzwa wanakuita mmarekani hata uwaambie vipi we ni mwafrika pure hawakubali.
 
Harmonize....Sitaaki Kuongelea Zile Haso zake za BSS....zile haso zake za kutoka hadi Diamond kuja kumuona Na kuamua Kumsign Na kuwa msanii wake Chini ya WCB! Alitoa Aiyola ikamtambulisha....akaachia Kidonda changu ikamuongezea utambulisho lakini Diamond Alimtambulisha zaidi na Zaidi kupitia show na Kuamua Kushi nae Nyumba Moja! Mwishowe akumueka kwenye nyumba Yake alionunua Diamond! Ila sahizi sijui Wapi anakaa.....Bado ikamzidisha kumtambulisha hadi sasa pamoja na Kiki zote!

Mimi shabiki wa WCB na Nina wapenda wasanii pale....lakini Kasumba Moja kubwa ya wasanii wa WCB ni hawajui kufanya INTERVIEW....hilo liko wazi na Hapo ndipo huwa wanafeli japo majigambo kwa Msanii ni kawaida!

Ila Harmonize hajui INTERVIEW kuliko msanii yeyote pale WCB kujieleza hajui ni mtu anae tamani kuongea kila kitu kwenye Interview Moja! Pamoja na Tabia zake zingine Lakini sijui

Ila naweza kusema kuwa HARMONIZE atakuwa msanii wa kwanza kujitenga na WCB na hata ondoka kwa Mazuri watagombana sana Kupitia Media na huo utakuwa mwisho wa HARMONIZE ......Kama huamini haya niyasemayo Jaribu kufuatilia interview zote za HARMONIZE hivi karibuni utaelewa nacho ongea......Managament yake na Harmonize hamna dalili nzuri siwezi sema ni Kisa MZUNGU ila Harmonize anatabia fulani hivi si nzuri japo sijaishi nae!.....Harmonize nilicho jifunza ana Nidhamu ya woga na hii itamfanya asepe Mapema WCB

Dalili ya Mvua ni Mawingu.....Wazungu wasema Time Will Tell....Ngoja nitunze akiba ya Maneno yangu lakini akili yangu inanituma na kunambia kuwa HARMONIZE atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB na watagombana na Kundi la WCB

Ingekuwa ni uwezo wangu ningezuia hiki kisitokee lakini sina jinsi mm ni mshabiki wa kawaida tuu!!! Ila yule MZUNGU SIJUI kama WCB wamemkubali nafikiri hapana......Japo HARMONIZE KUWA na MZUNGU mimi sio sababu ya Kusema Kuwa HARMONIZE ATAJIENGUA WCB!

Ila kwa Dalili hizi......mmmmmmh

Danya
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mkuu nitabirie namimi Kama mwakani naweza nunua gari
 
Rich mavoko alifukuzwa sio kuondoka,

Ndo maana kafulia, mizimu imechukia.
Producer aliyesababisha wimbo wa UNO wa Harmonize kufutwa YouTube, Atoa onyo kali kwa wasanii wanao-copy kazi zake
 
Jamaa ni mpambanaji, ata akiondoka anaweza anzisha label yake na akawatoa wasanii kadhaa pia. Lolote linaweza tokea, kwangu naona sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom